Recent content by buyungu

  1. B

    Baniani mbaya, kiatu chake dawa: Wa kushukuriwa ni Lowassa

    Mimi nazani wa kushukuriwa ni aliyekuwa katibu Mkuu wa Chadema kuisimamia vema taasisi mpaka ikajenga taasisi nyingine kama bavicha na Bawacha ambazo kwa kipindi cha miaka mitano Chadema chini ya uongozi wajuu na hususani utendaji mzuri wa Dr. Slaa uliibana serikali nje na ndani ya binge mpaka...
  2. B

    Magufuli ukiyaweza haya nitaanza kujenga imani na wewe

    Vtu vingne tuwe critical yeye namba 7 hana maamzi ya mojakwa moja lkn anaweza kuwa msuluhishi..
  3. B

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Mimi sasa naishi kwa amani kwani mungu ametuletea mtu sahihi nahatimaye naamini atashinda kwani yeyote afanyaye mazuri mungu humuongoza. Kazana baba kwan Taifa letu linakuhitaji.
  4. B

    Lowassa awafungulie mashitaka Viongozi wa upinzani kwa Kumchafua

    Kwa takribani miaka 7 vyama vya upinzani vikiongozwa na viongozi wao wakubwa kwa nyakati tofauti vimekuwa vikiimba Neno UFISADI. Lakini wakaenda mbali kwa kumtaja jina mh. Lowassa kuwa yeye ndo fisadi mpaka magazeti kama mwanahalisi ndo gazeti lililo ibua hoja hyo mpaka kwa kumtaja jina mh...
  5. B

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Sio tu kuomba radhi watanzania Bali wamuombe radhi mh. Lowassa. Na ingekuwa n mm ni lowassa baada ya uchaguzi ningewafungulia maxhataka mahakaman viongozi wote wa upizani na watu wote walio sababisha pengine ndoto yake isifanikiwe kwani wao ndo walioeneza chuki juu yake ndani na nje ya mahakani.
  6. B

    Wapo wengi watapishana na mafisadi ndani ya CHADEMA, watatoka wengi sana

    Nihivii Mnyika Lissu msigwa na prof.baregu na prof safari.wameshusha credibility at the highest level. Watu kama prof.baregu na prof safari niwatu walio tuaminisha na kujipambanua kama waadilifu lakni wameonekana kupwaya. Cjui nani kawaroga au wamekula maharage ya wapi? Wemeacha mtu aliyetaka...
  7. B

    Dr. Slaa hakuna kama wewe

    Yaan karne itawakumbuka hao.wengine wanajiita wana ndoto ila ni njaa tu. Viongo ni hao
  8. B

    Tulianza na Mungu na Tutamaliza na ...!

    Umenena safi sana
Back
Top Bottom