Recent content by BUTTER

  1. B

    tofauti hapa ni nini?

    kwanza nianze kwa kuweka sawa hili:- neno Tobo kama lilivyo halina maana yoyote na si neno sahihi la kiswahili( tunaweza kuliweka katika common mistake in swahili). kuna Toboa= kitendo kuna Tundu= matokeo ya toboa kama unakubaliana nami kwa maelezo yangu ya awali basi ni makosa kusema:- toboa...
  2. B

    Habari wanajamii

    Tofauti hapo ni matumizi ya lugha tu. 1. ni lugha ya kimashairi_ili iweze kuimbika au kuleta upatanisho wa vina na mizani 2. ni Lugha fasaha( ya moja kwa moja) Sentensi zote hizi ni sahihi-kutegemea na matumizi yako.
  3. B

    Wapenzi wa Kiswahili Nisaidieni: Ajali Mbaya, Mafuriko ya Maji, Chini ya Mvungu, Msitu wa Miti nk

    samahani kwa makosa ya kiuandishi(typing error) Asante nawe pia kama umenielewa
  4. B

    Nani yupo sahihi?

    Hizi tungo nazipangua kama ifuatavyo: 1. Nyimbo yangu nzuri Nyimbo=jina katika Wingi yangu= Kivumishi kimilikishi ya=Kiambishi cha awali cha idadi(moja) nzuri= Kivumishi cha sifa na idadi(zaidi ya moja) Kwahiyo katika upatanisho wa kisarufi tungo...
  5. B

    Ipi ni kinyume sahihi ya hii sentensi?

    Tungo namba moja ndiyo iliyosahii yaani ndiyo kinyume cha hiyo tungo kuu. Mahali hapa pana hela=kianachotakiwa kukanushwa hapa ni kitenzi pana. Hivyo basi:- Mahali hapa pana pesa. Kanushi yake ni Mahali hapa hapana pesa 2.Si mahali hapa pana pesa= katika tungo hii...
  6. B

    Mgombea binafsi Tanzania: Tatizo ni nini?

    Kwa uelewa wangu HURU -ni kutofungamana na upande wowote BINAFSI- kwa ajili yako/ pekee yako(wewe tu) Hivyo basi mgombea huru ni yule ambaye hana chama cha siasa yaani si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Mgombea binafsi ni mwanachama wa chama cha siasa lakini akaamua kugombea kama...
  7. B

    'Itifaki imezingatiwa'

    Kidogo inakubalika lakini haikidhi kiu ya muuliza swali Itifaki= utaratibu wa jinsi ya kuendesha shughuli fulani kutokana na utaratibu uliowekwa. mathalani katika shughuli za mikutano ni kiongozi gani anatakiwa kuingia kwanza kisha nani afuatie na nani awe wa mwisho kuingia katika sehemu ya...
  8. B

    Umeshiriki lipi kati ya haya?

    Ingawa sio mtaalam wa kiswahili nachangia kama ifuatvyo:- Kongamano=Jumuiko la watu wenye ufahamu wa fani moja katika kubadilishana uzoefu wao. Warsha/Semina =Jumuiko la watu katika kupata melekezo ya kiutendaji juu ya jambo/kazi fulani Mkutano=ni kutaniko la watu mbali mbali Kikao= ni mkutano...
  9. B

    Gesi ya Mtwara na Rasilimali Nyingine: Maswali ya Msingi!

    Tatizo la watu wenye mtizamo kama wako wanaogopa changes kwasababu huenda mianya ya kuiba itazibwa na hivyo watakosa kile walichozoea kupata kutokana na mfumo mbovu wa undeshaji wa nchi. ni dhahiri hata mafisadi watakuwa na wakati mgumu kama nchi hii ikibadili namna ya kujiendesha. katika...
  10. B

    Gesi ya Mtwara na Rasilimali Nyingine: Maswali ya Msingi!

    Nafikiri suala hapa si kusafirisha Gas toka mtwara hadi Dar!! HT inaonekana uko out of touch kama unafikiri wananchi wa mtwara wanapinga gas kutoka nje ya mtwara. Taratibu wananchi wanaanza kuamka na kuona kuwa mgawanyo wa rasilimali hauko sawa katika nchi hii. Kama tungekuwa na utawala wa...
Back
Top Bottom