Recent content by butron

  1. butron

    Mali za mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu zataifishwa

    Ugomvi wa familia yake na serikali unamgharimu jamaa!
  2. butron

    Kuna brand za nguo zilitikisa sana aisee!

    LEGS,SAVCO,TOMY HILFIGER,FUBU,PUMA,NIKE NK
  3. butron

    Hakuna ulazima Tanzania kuwa na Waziri Mkuu

    🤣🤣🤣🤣
  4. butron

    Katika kipindi cha utata kama hiki ndiyo tunahitaji maandiko kutoka "majitu" muhimu

    Kaka Pascal acha kutubania,wewe tuambie tukupe siku mbili tatu atakuja kumwaga mambo hapa jamvini!!
  5. butron

    Angalizo wanaoshikiwa akili na Wanaharakati njaa wa Tanzania

    Tulia wewe mpuuzi Mwalimu J.K.Nyerere muasisi wa taifa hili alitaka kupinduliwa mara kibao;Kwani Samia yeye ni nani nchi hii mpaka asitolewe madarakani!! Samia aachie ngazi mambo mengine yaendelee,wenye nchi hawamtaki,period!!
  6. butron

    PostGE2025 Waziri Simbachawene: Yanayopangwa D9 si maandamano ni mapinduzi, vyombo vyetu vya usalama vitayadhibiti

    Kwani akipinduliwa Huyo Samia amabaye ni mtu mmoja tu ili watu wengine waishi kwa amani kuna shida gani?
  7. butron

    DP World Ilivyozima dili chafu za TEC. Bandari ya Dar, hasira kwa Rais Samia

    Wanaropoka wakiumwa wanaenda kutibiwa kwenye hospitali za Katoliki;huku kanda ya ziwa Bugando isingekuwepo sijui hali ingekuwaje.Wanaachq kukaa chini na wao kuanzisha taasisi zao za afya na elimu kwa watu wao kazi kutwa kushqmbulia TEC,hawa jamaa ni wapumbavu sana!!
  8. butron

    DP World Ilivyozima dili chafu za TEC. Bandari ya Dar, hasira kwa Rais Samia

    Hayo mambo mazuri mbona hayajapelekwa Zanzibar kwao!!
  9. butron

    GE2025 Kama unamiliki utajiri wa kuanzia bilioni 5, kapige kura 29/10/2025

    Utajiri una historia yake,mbona hawahojiwi watoto wa Bakhressa na anahojiwa Mtoto wa Samia.Kuna biashara gani Ikulu inayowafanya wamiliki magari ya mabilionea kule Ulaya na Marekani!!
  10. butron

    GE2025 Kama unamiliki utajiri wa kuanzia bilioni 5, kapige kura 29/10/2025

    Kikwete,Samia na Rostam ni viumbe wenye roho mbaya sana!!
Back
Top Bottom