Hiyo SIMILE katika mfano namba 3 yadhihirisha WAZI kabisa kuwa mtoa comment ni mtu wa SHARI ....
You could have AVOIDED such ABUSIVE LANGUAGE in delivering whatever message you intended to deliver ....
Swali lake si baya ... maana jina la mtu fulani lapaswa kusomeka vilevile lilivyo ili si tu kuleta maana halisi bali pia kuepuka "contradiction" pale linapokosewa ... That's my opinion, you may buy it or not ..
Twaomba ku-balance story ....
a) KAULI yako kuwa mtuhumiwa Abdul Nondo HAKUTAMKA POPOTE kwamba ALITEKWA bali ni kauli ya jeshi la polisi .....
b) KAULI ya mtuhumiwa Abdul Nondo aliporipoti pale kituo cha polisi Mafinga kwamba ALITEKWA ...
Now which is which?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.