Recent content by bushi

  1. B

    Kilichojiri viwanja vya NMC na hatma ya Jimbo la Arusha Mjini

    peoples...............................................Power
  2. B

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Mama pole sana, nakumbuka ulivyo msihi aoe akasema bado wala hata mpenzi hana, leo unaskia alikuwa na mpenzi anaitwa lulu najua itakuuma sana kwa kanumba kukuficha hili. Na ukweli kama angekwambia lulu ndo mpenzi wake nahisi kwa busara zako ungemwambia hamfai. RIP
  3. B

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Sheria iko ivi ukifa kwa jeraha lililosababishwa na mtu yeyote ndani ya siku 30,mtu huyo atakuwa ndiye aliye sababisha kifo chako au muuaji,sasa kanumba hajachukua hata siku moja nani muuaji? obvious ni Lulu go straight.
  4. B

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Hakumuliza nani kamchora izo tatoo anahangaika kuliza anaongea na nani kwenye simu. Mithali 5:3-5. Maana midomo ya malaya hudondoza asali,na kinywa chake ni laini kuliko mafuta,lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga,ni mkali kama upanga wa makali kuwili. Miguu yake inateremkia mauti,hatua...
  5. B

    RIP Steven

    STRONG RELATION hususani kwa mtu ambaye matured ni muhimu sana,Kama kanumba angekuwa japo na mpenzi ambaye yuko matured enough sio tu kuwa na 18 but spiritual,moral and interlectul matured angekuwa hai leo. Sio kila mauti yanapomfika mtu basi tuseme ok. Tujifunze katika hili,yeye alisema hana...
  6. B

    CCM inamshawishi Mwl Christopher Mwakasege achukue fomu Arusha mjini!

    Mwakasege usijaribu kuingia katika serikali ya mfalme Farao( CCM) wacha wana wa israeli tuokolewe na Musa (CHADEMA) tuende kwenye nchi ya kanaani yenye asali na maziwa.
Back
Top Bottom