Recent content by bushagara

  1. B

    Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Kwa utamaduni, mila na desturi za kiafrika, hususani Tanzania, ni familia chache zinaweza kuinyooshea kidole familia ya Ndugai kuhusiana na suala hili. Kama hujapitia hili wewe basi unakuta limemtokea jirani, baba mdogo, mjomba n.k. Na tunasahau haraka, rejea misiba ya watu wenye umaarufu kama...
  2. B

    LGE2024 Kagera: RC Mwassa atembea na visheti kuhamasisha Uchaguzi Serikali za Mitaa. Hii ni Rushwa!

    Kabla hujapewa visheti unaulizwa we ni chama gani au anagawa tu?
  3. B

    Hivi Madaraka Nyerere ameona kitu cha kulindwa ni jina la Mwalimu Nyerere, na si falsafa zake?

    Mbona mimi naona hili ni jambo dogo labda kama hatuna vitu vya kupigania. Sina hakika kama jina linalokatazwa lina copyright. Pia kuna watu wengi wanajiita au kuitwa majina ya viongozi wengine wakubwa wa ndani na nje ya nchi bila tatizo lolote. Hizo a.k.a mbona zipo nyingi. Tukiamua kuanza...
  4. B

    Profesa Assad ashtakiwe kwa kukiuka maadili akiwa ofisini. Alimpeleka dereva kufanya kazi masjala isiyoendana na proffession yake

    Nafikiri hukusikiliza vizuri yale mahojiano. Unajua mkataba wa huyo dereva na alikua wa taasisi gani? Je ilikua taasisi ya umma au sekta binafsi?
  5. B

    LGE2024 Ina maana Walimu wanawatoa wanafunzi darasani ili waende wakajiandikishe kwenye daftari? Hii video ya Tabora imenifikirisha sana!

    Kwanini inajengwa fikra kuwa wanafunzi kujiandikisha ni kosa kama wametimiza miaka 18? Na kwanini tunahisi hawa wanafunzi ni wa chama fulani wakati hawajatuonesha kadi za vyama vyao? Pia mbona kama kuna kuchanganya kujiandikisha na kupiga kura? Ieleweke wazi kua hili ni zoezi la uandikisha...
  6. B

    KERO Ni nani huvujisha siri za wateja wa mitandao ya simu?

    Nimekua nikiona mara kadhaa watu wakilalamika taarifa za mawasiliano yao kwa simu kuvuja, ikiwemo ya sauti, sms na mara nyingine hadi whatsapp. Nimekua nikijiuliza sana kuwa ni rahisi kiasi gani jambo hili linafanyika kiasi cha kuathiri watu wengi hivi. Je ni kampuni za simu pekee ndio...
  7. B

    Ifahamike Kwamba Land Rover aliyotumia Julius Nyerere ilikuwa 109, Siyo hizi zenu mnazoziendesha huko Arusha

    Hata mimi labda sijaelewa hoja ya mtoa mada. Kwenye msafara na maonesho zipo hadi Land Lover za miaka ya 1940s. Achilia mbali 109 kuna mpaka 108.
  8. B

    Luhaga Mpina ni jembe

    Maswali haya ni mazuri sana. Yanapaswa kujibiwa kabla hatujaingia kwenye uhalali wa uagizwaji wa sukari. Tatizo hatutaki kujisunbua kuhoji zaidi ya kupokea taarifa. Je ni kweli viwanda vya sukari hapa au agents wao walikua na sukari wakazuiwa kuuza?
  9. B

    Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na LHRC, nyote mnatumikia tu maadui wa Makonda

    Nafikiri unaweza kujenga hoja bila kushutumu watu wengine pasipo ushahidi wa wazi. Umemtaja Kinana kuhusika bila kuweka ushahidi. Nadhani si sawa. Ila kama una ushahidi tuwekee nasi tuweze kunufaika ili tuwajue waovu wa nchi yetu.
  10. B

    Lema yuko Sahihi Waislamu Wana Uwezo wa kuwatetea Wanasiasa wa Kiislam Lakini hawawezi kuwatetea Wanazuoni wa Kiislam!

    Jamii forum kuruhusu mijadala kama hii ni hatari. Jamii zetu zimechangamana sana. Unakuta baba muislam mama mkiristu. Na hatujaeahi kuona shida. Sasa kama mijadala ya msingi imetushinda bora tukae kimya. Hizi dini tumeketewa tusisahau historia. Na bado kuna mataifa makubwa na yameendelea...
  11. B

    Wizara ya Mambo ya Nje inakwenda kuvurundwa kama Wizara ya Nishati

    Nadhani hii inadhihirisha huna hoja ya msingi. Hawa ndo great thinker wanaomkataa waziri. Inafikirisha na inasikitisha mtu kutokubali utofauti wa hoja
  12. B

    Wizara ya Mambo ya Nje inakwenda kuvurundwa kama Wizara ya Nishati

    Mbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi...
  13. B

    Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

    We ni mpumbavu sana. Kwanini unakashfu dini za wenzako kwa hoja dhaifu. Hivi kwenu dunia au tanzania tunayoishi ni yakubaguana na kukashfiana kiasi hiki? Unadhani waislam wanajisikiaje wakisoma utumbo kama huu? Kwanini JF mtu kama huyu asidhibitiwe? Yawezekana we mwenyewe ni zao muislam siri...
Back
Top Bottom