Hivi ni kweli wazee wetu wa kale walishindwa kuweka misingi imara kuanzia ngazi ya familia Hadi kitaifa..
Kwanini kwenye Jamii zetu nyingi za kiafrika kila mtoto anayezaliwa ndiye anatakiwa kupambania ili ukoo ujikomboe na Umaskini?
Waliotutangulia waliwahi kuja hapa kutuzaa ili watutegemee...
Eti ni kweli kuwa majini wana jinsia zote mbili?
Eti ni kweli kabla ya kuumbwa Binadamu yalianza majini?
Eti ni kweli Shetani/Lucifer ni jini na sio Malaika?
Eti ni kweli Shetani alikataa kumsujudia Mtu na akaonekana kaasi na ikiwa Mungu pekee ndiye anayetakiwa kusujudiwa?
Eti ni kweli baadhi ya...
Ninawagawa wapiga kura katika makundi makuu matatu
1. Viongozi waandamizi
2. Baraza la wanawake
3. Baraza la vijana
FAM anatarajiwa kushinda kwa kutumia kundi la kwanza na la pili maana ndio wanufaika wakubwa wa Mwenyekiti FAM na endapo mabadiliko ya uongozi wa juu utabadilika (Mwenyekiti)...
Hii media ilivyoanzishwa tuliona kama ni mkombozi kwenye Tasnia hii kwa kutoa habari za ukweli na uhakika lakini ghafla imekuwa ndivyo sivyo...
Toka imeingia ubia na AZAM MEDIA imebadilika sana maana tangu walivyoreport tukio la MAANDAMANO ya CDM imepoa sana...
Wamepunguza kureport Taarifa za...
Ukiangalia mambo ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini nafikiri utakubaliana na Rais Samia kuwa waTanganyika hawahitaji KATIBA MPYA
Wanachotaka ni kuwepo kwa Uhakika wa chakula uwepo wa ajira pamoja na gharama za maisha kuwa chini...
Wengi wao wanaotaka katiba mpya ni wale waliopo kwenye siasa...
Kila nikiangalia naona ACT wakuja kuwa chama kikuu cha upinzani lakini shida na wao ni Tawi la mbogamboga kwahiyo tutegemee kuwa na chama pinzani cha unafiki.
Tumeona jana mwenyekiti wenu akisema masuala ya ndani ya chama chenu ya yeye kuendelea kuwa Mwenyekiti ni yenu binafsi.
Hivyo basi msiwe mnatushirikisha sisi raia wa kawaida kuhusu mambo yenu na ikitokea mkaonewa kaeni chini na waliowaonea na kutafuta solution na sio kutoka nje na kuanza...
Siku ya jana katika uapisho wa Mawaziri na mabalozi wapya tumeona Rais wetu akiongelea kuhusu kumteua daktari Janabi hii Ina maana kuwa wanafuatilia kwa ukaribu mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii
Sambamba na kikao cha kamati kuu ya CHADEMA tumeona Makamu wa Mwenyekiti wao Lissu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.