Alafu kitu kingine cha kujiuliza kwa umakini , almost kesi zote zilizopo ni za watu kukamatwa na madawa wakiwa wanatoka tz kwnd nch nyingine , swali la kujiuliza , haya madawa yanalimwa hapa tz au yanaletwa kwa nia ya kupitishwa tu ? Na kama yanaletwa mbona huwa hayakamatwi kabla ya kuwafikia...
Kuna maswali huwa najiuliza sana kuhusu hiki wanachoita "vita dhidi ya madawa ya kulevya " bila kupata majibu . Ukiangalia kwa umakini utagundua hii vita ni usanii mtupu na haitafanikiwa daima.
Inavyoonekana kwa hapa Tanzania kutumia dawa za kulevya siyo kosa bt kuuza ndo kosa kwa maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.