Recent content by Burden47

  1. B

    Naomba kujuzwa biashara ya kuosha magari (car wash)

    Habari wakuu, Naomba kwa mwenye ufaham wa biashara ya car wash,anipe Ushauri ni kiasi gani cha fedha kinatosha kuanzisha biashara ya kusha magari ya saizi ya kati? kama kutakua na mchanganua wa budget nzima itakua vizuri. Nina milioni 4 je inatosha?
  2. B

    Msaada: SEAP programme by ERB

    Msaada kwa anaefahamu erb trainee allowance kiasi gan?
Back
Top Bottom