Wanachokifanya sasa hivi ccm kutaka kufanya kila wawezaloo kuludisha imani kwa wananchi
Dulu zinasema umaarufu wa chama cha mapinduzi ulipunguaa kwa zaidi ya asilimia 65 kwa miaka 6 iliopitaa na ccm wametumia matokeo ya tafiti hizo hata kuendesha uchaguzi
Nakupa mfanoo ndio maana kwenye...
Wakati jakaya kikwete akitumia ndege ya serikali kwenda dodoma kwa kazi za chama
Leo magufuli ametumia barabara kwenda dodoma kulihutubia bunge sasa najiulizaa
Je ni kubana matumiz au jakaya ndio rais wa nchi na magufuli ni nani
Maana sio mantiki hapa
Njombe mjini kimenuka,kuna gaari ya ccm imezingirwa sna vijana wa chadema wanasema wameiona ina mabox ya kura yenye kura ndani yake ambazo zimeshapigwa tayari. Polisi wametaka kuichukua,vijana wamegoma wamesema wataichoma moto kwahiyo wanatakiwa kushusha maboksi palepale. Watu wamefunga maduka...
Katika hali ya sintofahamu ni pale mgombea ubunge wa vunjo augustino lyatonga mrema alipohamua kumnadi magufulii
Najiuliza sasa mgombea urais wake akienda atasemajee
Kweli kuzeeka kukongorokaa
Katika hali ya kulipa fadhila.baad ya kufanikisha mpango wa ccm kupewa pesa na chama cha walimu
HONORATA CHITANDA KAIMU KATIBU MKUU CWT NA MOHAMED UTALLY MHAZINI CWT wameteuliwa kuwa madc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.