Nepi ailiaminiwa jk tu Marais wengine waliofuata hawakumwamini.
Kwa hiyo akae Kwa kutulia kama bashite alivyotulia aache uchochezi akae akijua bashite ndie boss wake
Baada ya kutoa ulithi wa mali zake zote alikua amebakiza wallpaper ya simu yake Leo ameitoa rasmi ila amesahau kwamba atakeyerithi simu ataiuza Kwa wale jamaa wa vyuma chakavu.
Ila kusema ukweli mwanangu wafanyakazi KAZI kwenye kampuni zake zinalipa msharahara mzuri(Kwa kifupi hawana njaa) na hawana blaa blaa nyingi
Kwa kipengele hicho tu mama nimemtetea
Hana baya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.