Recent content by Bungurere

  1. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Kama hii sio stories ya kujitungia Unatakiwa undiwe tume ya uchunguzi kama huyu dada Hana limbwata
  2. Bungurere

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    ITV wanatembelea sifa za zamani Tu siku hiz hamna kitu
  3. Bungurere

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Hilo ni bomu limepiga alamu subiri kidogo tu, hivi hajawahi kusoma kitabu Cha mfalme juha
  4. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Tulieni kwanza muone kama Lita haijaifikia elfu10 mnadhani mchezo eti hata huyo anayewaita watu wachochezi ataelewa kuwa uzalendo sio kuniga tai ya bendela ya taifa.
  5. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Sidiria yako nyeusi unaifua kila baada ya muda gani?

    Duh huo wote ni uchafu
  6. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Ukimwangalia usoni drogba ni kama vile tabasamu halijatoka moyoni Kama anajlizimisha kutabasamu
  7. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Hiki wanachofanya benki ya CRDB ni unyanga'nyi wa peza za watu

    Andika barua Kwa mkurugenzi wa bank crdb utume Kwa njia ya EMS, usipopata majibu nenda BOT, usipopata majibu tafuta ziara ya kiongozi mkubwa wa kitaifa eg. Waziri mkuuu,makamu raisi ikifikia muda wa kutoa kero za wananchi kuwalipue benki hakikisha una ushahidi wa maandishi wa kutosha
  8. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mkuu Usalama wa Taifa (DGIS), Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Wakuu wa mikoa wapo ofisini hata baada ya mauaji ya Oktoba 29, 2025

    According to prof.Assad 60% ya watumishi wa umma hawana uwezo wa kufanya kazi
  9. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Iran wamesema hawataruhusu tena usafirishaji wa bure kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz

    Tremendous Trump is his name
  10. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Eti mpaka leo kesi ya Lissu haijapangwa kusikilizwa! Hata mtoto wa darasa la kwanza atakuwa amedharau mahakama zetu

    Hapo ndipo tunadhibitishia Dunia kuwa trump alikuwa sahihi kututukana wafrika eti ushangae tulikuwa tunaomba kura ya veto kwenye UN security council
  11. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Nanauka: Serikali inatazamia kuanzisha benki ya Vijana

    Imenibidi nicheke kwanza Maana najua mwisho wa siku utakuja kusikia serikali imefanikiwa Kwa 2000% maana benki zote ni za vijana hata walioajiliwa humo ni vijana
  12. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Hatimae wanaanga waondoka Duniani kuelekea Mwezini

    Afadhali amepatikana mwafrika wa kungana nao
  13. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Kama ndiyo hivyo wapige marufuku hata simu zenye camera
Back
Top Bottom