Tulieni kwanza muone kama Lita haijaifikia elfu10 mnadhani mchezo
eti hata huyo anayewaita watu wachochezi ataelewa kuwa uzalendo sio kuniga tai ya bendela ya taifa.
Andika barua Kwa mkurugenzi wa bank crdb utume Kwa njia ya EMS, usipopata majibu nenda BOT, usipopata majibu tafuta ziara ya kiongozi mkubwa wa kitaifa eg. Waziri mkuuu,makamu raisi ikifikia muda wa kutoa kero za wananchi kuwalipue benki hakikisha una ushahidi wa maandishi wa kutosha
Imenibidi nicheke kwanza
Maana najua mwisho wa siku utakuja kusikia serikali imefanikiwa Kwa 2000% maana benki zote ni za vijana hata walioajiliwa humo ni vijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.