Recent content by Bungurere

  1. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    Tunamkaribisha shemeji yetu mtoto wa ruto Tanzania
  2. Bungurere

    JamiiForums Tanzania HOJA Deni la Daraja la Kigamboni (Mwalimu Nyerere) litaisha lini?

    Hata hivyo hiyo pesa ndogo Kwa sababu nssf ilikuwa inaingiza billion 120 Kwa mwezi ilifikia muda ilikuwa inaidai serikali trillion 6
  3. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Labda ubeti Kwa sh.200 upate efu87, Kwa siku 7, ubahatishe siku5 ukose siku2, utakuwa umepata 435,000
  4. Bungurere

    JamiiForums Tanzania THRDC: Kesi ya mhadhiri UDOM - maelezo yaliyotolewa na Jeshi la Polisi yanakinzana na yale yaliyowasilishwa mahakamani

    Maagizo kutoka juu ni Kwamba zile kesi za ugaidi zinawageuka wenyewe ni Bora waanze kubabinkiwa kesi za uhujumu uchumi hazina madhara kwenye Afcon
  5. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Hivi nyie watu wa msoga mkoje mmeharibu Binti wa watu mpaka akawa na tabia mbaya
  6. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Hiyo dhambi itawatafuna tu wewe ngoja
  7. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Nape: Ukiachwa na basi usilalamike inawezekana linaenda kupata ajali

    Nepi ailiaminiwa jk tu Marais wengine waliofuata hawakumwamini. Kwa hiyo akae Kwa kutulia kama bashite alivyotulia aache uchochezi akae akijua bashite ndie boss wake
  8. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Binti ukifika miaka 25 tafuta mwanaume wa kuzaa naye, ukifika 30 mtoto anaweza pata Autism!

    Hivi wema sepetu ana miaka mingapi
  9. Bungurere

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Vurugu zilifanyika usiku Oktoba 29 wakati sehemu kubwa ya nchi walishapiga kura

    Yeye alijuaje kama walikua wamemaliza kupiga kura wakati yeye hakuwa mkuruugenzi wa Tume ya uchaguzi.
  10. Bungurere

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kila siku Lissu anaweka mapingamizi, ndio maana inachukua muda mrefu

    Yeye alisema haingilii maamuzi ya mahakama amejuaje kama lisu anaweka pingamizi wakati yeye hayuko kwenye mhimili wa mahakama.
  11. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Zitto anahoji kwanini sijakamatwa, wakati kazi yangu ilikuwa kupooza vurugu. Sikuunda kundi la ugaidi

    Acheni kushindana na huyu jamaa mtapoteza mwelekeo
  12. Bungurere

    JamiiForums Tanzania DC Petro Magoti: Nikifa atakaechukua simu yangu asimtoe Rais Samia kwenye Wallpaper

    Baada ya kutoa ulithi wa mali zake zote alikua amebakiza wallpaper ya simu yake Leo ameitoa rasmi ila amesahau kwamba atakeyerithi simu ataiuza Kwa wale jamaa wa vyuma chakavu.
  13. Bungurere

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Namba moja ajimilikisha kijiji cha Ololosokwan, Ngorongoro

    Ila kusema ukweli mwanangu wafanyakazi KAZI kwenye kampuni zake zinalipa msharahara mzuri(Kwa kifupi hawana njaa) na hawana blaa blaa nyingi Kwa kipengele hicho tu mama nimemtetea Hana baya
Back
Top Bottom