Recent content by Bunda Ndio Home

  1. B

    Hivi mkeo anapokuambia usimwagie ndani anakua na maana gani haswa?

    Kasome Biblia takatifu kitabu cha Mwanzo 38 mstari wa 9 kuna majibu
  2. B

    Hadhi na heshima ya JWTZ imeshushwa mara 10 na wanasiasa

    Mkuu wananchi wengi wamepigwa risasi wakiwa majumbani kwao hata hawakupora cha mtu wala hawakuandamana, Jeshi la wananchi lilichukua hatua gani labda
  3. B

    PostGE2025 Wazee wa mila Serengeti watishia kulaani vijana watakaoandamana

    Wajinga sana wanashindwa kumlaani aliyetoa amri ya kuuwa watu oct 29 wamlaani nani hao kichuri kimewavuruga
  4. B

    Hadhi na heshima ya JWTZ imeshushwa mara 10 na wanasiasa

    Juzi niliwapita hapo sheli ya Sahwa, hii barabara ya kutoka Buhongwa kwenda Igoma wapo wengi tuliokuwa kwenye bajaji kila mtu alisonya kivyake
  5. B

    Kama nawaona vile 'Waliotutungua' safari ile wakijiandaa 'Kututungua' tena na 'Kiutaalam' zaidi safari hii

    Ngoja tuikomboe Tanganyika ndio tuanze kushughulika na uchafu uliyomo
  6. B

    DOKEZO Kucheleweshwa Kwa malipo ya tumbaku kati ya wakulima na MAGEFA limited

    Mkuu itakuwa mnadaiwa kwenye chama chenu cha ushirika
Back
Top Bottom