Recent content by bumai

  1. B

    Uwaziri wa Dr. Hussein Mwinyi ni halali?

    tUNASEMA WAPIGA KURA WALIKUWA WALEWALE,IWEJE AKIPIGA KURA YA MUUNGANO IWE HALALI AKIPIGA YA RAIS WA ZANZ ISIWE HALALI???????????? hapo haijaeleweka
  2. B

    Mkutano wa Lowassa WADODA ile mbaya

    hii picha ni ya asubuhi wakati watu wanaanza kuja....toa picha ya wakati yupo anahutubia...unajua mtiti wa watu ulikuja na mimi nilikuwepo...acha uwongo
  3. B

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Nimemsikia Mzee Makamba akitaja ranchi zilizochukuliwa na Lowassa. Simtetei Lowassa, lakini nadhani kwa kuwa hapa sasa yanazungumzwa masuala ya mali za umma, ebu tuelezane kidogo kuhusu Mkapa na familia yake walivyojitwalia mali nyingi za umma. Nianze na yale majengo/maghorofa ya TTCL pale...
  4. B

    John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

    Mnyika ni jembe safi sana...juhudi zake tunazijua sisi wakati wa kibamba...CCM ndio walifanyia ufisadi mradi wa kibamba.Mnyika hana kosa tunaona kila jitihada anazofanya. CCM mlie tu
  5. B

    MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

    Mbona waliokatwa ni wengi?..mBona hawasemi?..naamini kwa vyovyote vile lazima angepatikana mmoja tu kupeperusha bendera ya CCM...ni vyema kukubali matokeo na kusonga mbele.
Back
Top Bottom