Acha kujipendekeza mbona kwenye msiba wa mjomba wako hakuja? Dr Hosea ni Public figure wamekwenda wakubwa wengi ambao hujataka kuwaandika hapa na siyo huyo mtu wako pekee unayemnadi
Atasema sana na bado hiyo ni trela tu aandamane tena asikie muziki unaolinda watz naona haijui TZ tena anabahati kufanya mapenzi wakati umetekwa ulikuwa mchezo mzuri sana huo
Wakati unalima ulikuwa unafundishwa ukikosa kazi ulime kwako kama ni kupoteza muda ni nani aliyewaita JKT mbona walikwenda wenyewe kwa DC na vyeti vyao kubembeleza? Usiwatie ujinga kama haki yao mbona hawajaingia IKULU? Waambie waendelee kuandamana ndiyo wataajua kuwa watu milioni 40 hawawezi...
Kwa taarifa yako kila kazi ina miiko yake na moja kati ya miiko ya kazi ya uaskari ni kuandamana ambayo hutakuja kuona askari anaandamana hadi utakapo rudi mavumbini na kwakuwa siyo kazi yako na hujapita huko sitakuambia mengi na hao jamaa zako watasambaratishwa kabla ya mwezi huu kuisha...
Nimefanya makusudi ili upate muda wa kufikiri mimi ni nani, zaidi ya yote nitajie nchi ya ki-demokrasia ambako askari huandamana kudai unachokiita haki utakuwa umenisaidia sana na nitakuambia mimi ni mkulima au mfanyakazi
Mtoto wa mkulima alisamaje pale kwenye lile jumba kARIBU NA CBE hebu nikumbusheni vile kwamba....................................................................tu???? au siyo hivyo?
unapokuwa jkt unafundishwa kazi zote za ulinzi zikiwemo zinazofanywa na polisi kama huelewi uliza wariokaribu yako wenye uelewa kuliko wewe watakusaidia askari aliyetoka jkt ana fit popote atakapangiwa kufanya kazi
Huyo dogo naona hakumbuki kiapo chake ni lini na wapi askari anaandamana kudai haki kama wanasiasa somo la nidhamu ana ziro askari huwa hatuandamani kwenda kwa amiri jeshi mkuu na hiyo ni trela mchezo wenyewe bado kama haamini aulize wote wanaoshindana na serikali mwisho wao huwaje???? Na...
Kwa sababu Muhongo alikosa adabu kwa watanzania kuwaita wote ni wachovu hawawezi kuwekeza kwenye gesi hata hivyo alichelewa kuondolewa japo anadai kaondoka
Ukimuuliza mbwa kuwa kuna chama cha siasa chenye jina uliloliandika atakujibu hakuna lakini mbwa huyohuyo ukimuuliza anaitambua chadema atakujibu ndiyo sasa pima maneno yako na hoja uliyoiandika kisha jijibu mwenyewe kama huo ugoro unaweza kushindana na CHADEMA NI BORA KUKAA KIMYA KULIKO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.