Recent content by Bulelaa

  1. Bulelaa

    Deep State Kumbe Ndio Hii?

    Wizi kwa mtu mwafrica ni sawa na kumesa dawa ya kutulisa maumivu (Panadol) Kwa mtu ya ngosi nyeupe, wizi ni sawa na kunywa sumu ya (Cutter)
  2. Bulelaa

    Nipo Chato natafakari mengi, kwa hili pekee Katoliki na Usalama wangelisaidia Taifa kama wangeamua

    Kichaa anaenda kufanya utafiti kufahamu ukichaa wa watu timamu? Tanzania kwa sasa, ni eneo hatari sana kwa kuishi watu timamu wa akili Jinga kabisa
  3. Bulelaa

    Ukweli mchungu: Katika hawa wajumbe wa Kamati Kuu aliowateua Lissu, Lema pekee ndiye alistahili

    Inakuhusu nini mkuu? Chakula ndo kwanza kiipo jikoni, tayari ushaonja na radha yake? Nyie ndo huwa mnamaliza mboga bado ikiwa jikoni Tulia hivo hivo
  4. Bulelaa

    PreGE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

    Sisi binadamu tunamapungufu mengi sana, na huwenda hizi dini zetu kunaupande ni kama huwa tunadanganyana saana Hawa hawa Mashekhe kipindi Rais Samia anaingia madarakani, walitusomea aya kuwa, Mwanamke kuwa kiongozi mwenye maamzi, yaani Mtawala, Kitabu na Dini ya Mnyaazi Mungu haikubali Embu...
  5. Bulelaa

    Mwamba Donald trump, hacheki na yeyote.

    Na wewe ni nani hapo USA mkuu Trumpol anafanya kwa ajiri ya masilahi ya Wamarekani na si vinginevyo, ikitokea amekufa, atakufa kwa ajiri ya watu hao hao Nyinyi endeleeni kuwapamba na kuwa machawa wa viongozi majizi na wala rushwa kwenye nchi zenu
  6. Bulelaa

    Nchi zetu zifanye kama Israel kuyasambaratisha makundi ya kigaidi huku akimpiga na mfadhiri wa makundi hayo!

    Italeta Utulivu mkuu, maana mpaka sasa najua ilishahafanyika hii tena kipindi cha nyuma huko kujikata mara mbili kama sikosea!
  7. Bulelaa

    Nchi zetu zifanye kama Israel kuyasambaratisha makundi ya kigaidi huku akimpiga na mfadhiri wa makundi hayo!

    Makundi ya Kigaidi huwezi kuyamaliza kama hujadhoofisha nguvu ya mfadhili wao Wengi tumeona vita vya Israel na makundi yaliyokuwa yakiisumbua nchi hiyo IDF hakuwa akipiga wanamgambo tu wa makundi ya kigaidi, bali aliwapiga na wafadhili wao wakuu na kuwadhoofisha kabisa, pale alipopiga mitambo...
  8. Bulelaa

    Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

    Lakini we jamaa ni mpumbavu sana na ole tukutane njiani nakutwanga mangumi ujinga ukuondoke Mpina anapozungumzia uongozi mbovu, mikopo isiyo na tija, katiba n.k, anakuwa anatetea au kuzungumzia kabila lake au anatetea Nchi yake? Mpina ni mzalendo na mlinda Rasilimali zetu
  9. Bulelaa

    PreGE2025 Mzee Wasira: Wananchi wana njaa, hawawezi kula Katiba

    Huyu mzee anazeeka vibaya! Mkuu wake akiiona hii atajidharau sana, Hayo maendeleo yaliyoletwa na Dr. Samia labda yawe hayana mwingiliano na njaa Yaani kumbe nimekuwa sielewi maana ya maendeleo, mimi najua kuwa, mtu aliyeendelea, hawazii pesa ya kula au jambo la msosi kwake halimpi shida Sasa...
  10. Bulelaa

    David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

    Wewe ni kama nani hapo hazina? Wewe ni CAG mpaka useme hakuna pesa zinazoibiwa? Kuhusu mkataba wa DP world umeshapelekwa bingeni au zuga zenu maccm kuwafanya eananchi mazuzu? Ni lini ccm kumekuwepo watu wenye brain usiochakachuliwa?
  11. Bulelaa

    Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

    We strongly opposed Magufuli, look now, even America is born JPM of its kind, black people don't know what they want, let us be given pills
  12. Bulelaa

    Anayefahamu Mradi wowote ulioanzishwa chini PPP ya David Kafulila atufahamishe, mimi siujui hata mmoja, ni Mwingi wa maneno tu

    Yule jamaa ndo chawa no moja wa mama! Ukimsikiliza ni kama anamambo mazuri sana, laikini ni kipi amefanya, ni 0 Sifahamu hili USA kujitoa WHO atasemaje huyu kafulila..!
  13. Bulelaa

    Utekelezwaji wa agizo la Trump; Je, Rais Samia amejipangaje ?

    Wasanii wa TZ hakuna hata mwenye Master's unategemea nini
  14. Bulelaa

    Utekelezwaji wa agizo la Trump; Je, Rais Samia amejipangaje ?

    Endelea kuota, Lete iliyokweli ya kwako
Back
Top Bottom