Recent content by bukugu

  1. B

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Google Pixel 7 Pro kwa 1,650,000/= tu { Mpyaaa} na offer kedekede

    Mkuu hizo sio refurbished kabisa??
  2. B

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kupata results transcript nactvet ubadilishwe ni kero kubwa mno

    Wakuu Habari zenu. Nimeandika uzi huu baada ya kupata usumbufu wa zaidi ya miezi miwili nikifuatilia transcript, ili kushauri nini kifanyike kuondoa kero hii inayowakuta wengi. Kwanza itambulike wanafunzi wote wanaohitimu na kufaulu masomo Yao katika vyuo vyote vinavyosimamiwa na nacte...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Ndo hivo huu uzi utaenda kuwafumbua macho watu ambao hawakujua kama sisi wasifunge mikataba yao kwanza
  4. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    WAKUU NAFUNGA UZI RASMI KWANI SIMU ZIMEANZA KUPIGWA LEO IKIWA NI SIKU MOJA TU TANGU NIONDOKE MJINI ASANTENI KWA USHAURI JAPO NISHACHOMA NAULI
  5. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    nipatie jombaa siachi kazi mimi
  6. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Kulima mpunga ndo kazi yangu namba moja haiachwi mpaka nazeeka, nimetaka changamoto mpya tu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Ni kwel mkuu uvumilivu muhimu...ila sikudeka nilikuja kwa wadau kupata muongozo mkuu vitu vingine sikuvijua sijatumia Jf kama miaka miwili hiv nimerud kuchota maarifa
  8. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Bahati mbaya hata watu nilokutana nao siku ya kuripoti nao walikuwa hawajui kama mimi tu jobless wengi hizi taratibu za Taasisi hatuzijui...tumezoea taratibu za upande wa Tamisemi ambako watu wengi ndo wanaajiriwa kidogo wenyew wako fast
  9. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Nitaongeza umakini mkuu ... saiv nahakikisha kasimu kangu kako full charg nisijepigiwa nikawa sipatikan, Asante kwa ushauri
  10. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Nimekupata kiongoz nishafika porin kwetu maisha yanaendelea
  11. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Asantee ushaur kama huu ndo niliuhitaji
  12. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    [emoji120][emoji120]
  13. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Uzi unaitwaje huo mkuu nisaidie nifatilie sikuwa online sikunyingi nimeishi na kiswaswadu
  14. B

    JamiiForums Tanzania Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Kwel asee sikuwa online sikunyingi sujapitia nyuz nyingi nmeanzisha tu huu kurahisisha kiongoz
Back
Top Bottom