Mawazo mazuri, lakini solution ni kuanzishwa kwa ufugaji wa samaki wa vizimba kwa wingi, hapo hakutarajii uvuvi haramu. Kwani kuongeza kikosi kazi vya kuzuia uvuvi haramu ni kuongeza haramu. Hizo fedha zielekezwe kwenye ufugaji samaki kwa vizimba. Wakianzisha ufugaji huo, ndio ziwa litapata...
Mimi nafikri bashiru anataka serikali, ifanye haraka kutafuta tatizo
1. Kutokutegemea mvua za misimu, kutafuta haraka hata maji ya chini ya ardhi, ambayo ni mengi. Ambapo ukafanyika kilimo cha umwagiliaji wa mazao ya muda mfupi.
2. Kuruhusu watu binafsi, kuchimba visima kwa ajili ya umwagiliaji...
Mimi naona kuwepo kwa ukomo wa ubunge na udiwani , kwani mtu anadumu miaka 40, hii inanyima haki kileleni kipengele cha kila raia mwenye sifa ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Hiyo ya mtu kukaa muda mrefu kuweza kupelekea rushwa kukua.
Shigela ni mzuri ila ni time barred. Pia sasa tunaingia kwenye strategic politics.
Pia naona kama kuna shida ya afya,mikikimikiki ya kizazi cha 2025.
Pili ccm ifanye selective interview kwa makatibu wa mikoa na Wilaya watapata makada wenye sifa. Enzi zakuteua uzoefu bila elimu, um
Viongozi wengi wameonyesha udhaifu kwenye nafasi zao
Inabidi çcm ifanye overhaul, kuleta Viongozi watakaoweza kuongea lugha moja na new generated voters wa 2024, 2025 to 2030 ambao ni threat kwa ccm na ni wengi sana. Wenye uzoefu wakae pembeni kuwafundisha Viongozi wapya vijana wasomi.
Katibu wa...
Mimi naikumbuka Panasonic top dome, nilinunua laki tatu na sitini mwaka ' 93 nilikuwa naangalia KBC kenya, itv ilikuja baadae, na kupata itv ilibidi ufunge kitu kinaitwa crystal!
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Kama mkopo ulichukuliwa na kampuni yao hapo hakuna kupona, ila kama mkopo ulikopwa na mzee rupia kama individual person, hapo bima inawajibika kulipa life insurance ku offset deni!
Pili msimzodoe msaidieni kimawazo kusolve hili jambo
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Aisee ni kweli, mwamposa amejenga jengo la mabilioni ya pesa. Je kwa vyanzo vipi? Nadhani lazma uchunguzi ufanyike, inawezekana akaunti za makanisa zikatumika kuficha pesa chafu kwa sababu sadaka ni unquestionable, na haidaiwi kodi. Mambo mengi yamepitwa na wakati
Sent from my SM-T285 using...
Waziri angetuambia hao wasiolipa kodi wana biashara?
Je wanafikiwaje? Je wanafanya makisudi au hawana kazi, au biashara za kufanya hawana. Nilitegemea Waziri angetuambia idadi ya biashara na ngapi hazilipi kodi
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Kama sikosei kanuni toka mkoloni ni kuchukua vijana urefu 5'8 . Ndio maana utaona askari wa enzi za mkoloni walichukuliwa makabila yenye watu warefu, wale wafupi walichukuliwa waliomaliza form I've enzi hizo na walianzia cadet officer! Mwenye zaidi atujuze!
Sent from my SM-T285 using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.