Recent content by Bukali

  1. Bukali

    Simba Sc yapiga mtu 2-0 Uturuki; Friendly Match

    Hayq mqneno ndo huwa yanawafanya munasusa thread
  2. Bukali

    Viongozi wa Simba kufanya mazungumzo na Adebayor kesho jioni

    Kama hamna pesa ya kutosha mtaishia kuwapiga mistari tu wanaenda kula wwngine.
  3. Bukali

    Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

    Yeye na timu yake amekuwa bingwa mara ngapi atutolee makasiriko hapa.
  4. Bukali

    Tff na Bodi ya Ligi imeisadia Yanga kushinda ubingwa msimu wa 2022/23

    Mwamba umeua jitu aisee,anakuja amepampiwa pampiwa tu hata hajui watu wanarekodi zote.
  5. Bukali

    Benchi la ufundi Yanga sc, nadhani mmeona dharau alizozionesha Benard Morrison kwenye mchezo wa Yanga dhidi ya Dodoma jiji Fc

    Makosa yalianzia kwa Refari wakibao,alionesha anaye ingia tu ila hakuonesha anayetoka,angalieni marudio utakuja kusahihisha uzi wako.
  6. Bukali

    Rais anadanganywa au anaendeshwa na ushabiki?

    Huu ni upumbavu ndo unawasumbua,kwa nini unipangie chakutoa . Wivu ndo unawasunbua kipindi kile mnashiliki shirikisho mpaka mkaloga kwenda 1/2 hamkujua hili. Any way HII UNAWEZA PELEKA CAF IKAWAVUSHA KWENDA NUSU FAINALI.
  7. Bukali

    Goli 2 za Shirikisho ni sawa na offtarget 1 ya Championship

    Akikujibu niite mbwa nimekaa pale
Back
Top Bottom