Recent content by Bujigile

  1. B

    Tundu Lissu: Muda muafaka wa kwenda Mahakama Kuu, umefika

    Oooh pole sana, anaongelea waliokuwa wakimsaidia katika matibabu yake,
  2. B

    Je, Afrika ifuate Mawazo na njia ya nani kati ya Lissu na Magufuli?

    Aaaah Masiya ndugu yangu JPM hana nia njema na nchi hii, angekuwa na nia njema asingenunua Wabunge wa upinzani (fact zipo). Asingekamata makinikia angeongea nao kwanza, kwa level ya PhD siamini kuwa alikuwa hajui kuhusu mikataba ya MIGA. Asingenunua ndege bila kushirikisha Bunge kwani amekuwa...
  3. B

    Je, Afrika ifuate Mawazo na njia ya nani kati ya Lissu na Magufuli?

    Mimi sijaona fact nimeona comparison analinganisha na Mobutu, Mugabe, Saddam nk, lakini sijaona fact. Angetuambia nani alisign mikataba ya MIGA kuwakilisha TZ? na lini? na wapi ilisainiwa? hizo ndiyo fact. Kwanini waliposhauliwa kujitoa hawakufanya hivyo badala yake wakakimbilia kukamata...
  4. B

    Tunaifuatilia habari, hamuwezi tena kutulisha matango pori

    Kwani wazungu amewaeleza nini? na wewe umejuaje?
  5. B

    Pongezi Jeshi la Polisi. Japo Nabii hakubaliki nyumbani, Jeshi sasa ni Sikivu, Most friendly na very hospitable

    Leo umenifurahisha sana kwa andiko lako zuri la uchunguzi, omba wasilione Polisi wetu maana nahofia watavunja vunja Camera yako, laptop na mkoba unaobebea vifaa vyako vya kazi wataondoka nao, watapekua nyumba yako na mwisho watakupima mkojo, maana unataka kuwaharibia uteuzi. wabeja sana Mulungu...
  6. B

    Vijana walikaririshwa kwamba tatizo ni Mfumo!!!

    Sijakuelewa vizuri unaongelea nini, hebu jipange uandike vizuri ni nini unachotaka tujadili.
  7. B

    Gazeti la Mawio acheni kuweweseka na propaganda zenu hizo

    Kama Gazeti limeandika uongo kwanini usiwashauri maafisa wa MAELEZO kulifungia gazeti hilo na kama hawatalifungia au kulipa onyo au karipio maana yake limeandika ukweli.
  8. B

    CHADEMA Yapigilia msumari wa moto ufisadi wa trilioni 1.151

    Nini kifanyike? Afanye nani? hii hii serikali iliyoshindwa kudhibiti huo upoteve, serikali inayokumbatia wezi kila siku! kinachotakiwa kufanyika kiko wazi ni serikali ya ccm kuondoka madarakani, period.
  9. B

    Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow

    Kamati iliyokuwa inaongozwa na Mhe. A. Chenge ndiyo iliyochunguza, asanteni sana.
  10. B

    CHADEMA Imeshapoteza Majimbo ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015

    FaizaFoxy FF na wewe umeanza kuandika hivi kama mtu wa Lumumba? wewe nakujua unaandika masuala mazuri ya uchambuzi au nawe umechanganyikiwa na kasi ya UKAWA nini? tusiandikie mate na wino upo tusubiri October tutapata majibu.
  11. B

    Nitamshangaa sana mwanachama yeyote wa CHADEMA atakayempinga Rais wa Burundi

    Hata wewe umeanza kujitoa ufahamu au umeandika tu bila kujua, ndani ya CHADEMA kila kitu huwa kinaenda kwa vikao vya chama, hakuna kinachoenda kwa fikra za mwenyekiti kama ccm.
  12. B

    Hivi ukishajiunga CHADEMA unapungukiwa na weledi ama ndo siasa za maji taka?

    Nilifikiri KUONGOZA kumbe KUENDESHA! waache wakafie mbali huko Mwandiga.
  13. B

    Hivi ukishajiunga CHADEMA unapungukiwa na weledi ama ndo siasa za maji taka?

    Kwa nini uitwe MSALITI wewe tu kati ya maelfu ya wana-chadema?
  14. B

    Ni mabadiliko gani hasa tunayaona yameletwa na upinzani Afrika?

    Uliwaona wapi hebu tupe ushahidi, nchi gani walitawala harafu wakaila?
Back
Top Bottom