Umeelezea Kwa hekima na busara Sana ila mkuu ally, ushabiki huwez uficha mfukoni.
Mm nacheki recorded za man united Hadi zinaisha Sasa.
Naruidiaga Sana. Sasa Kwanini kocha haoni makosa Kwa mfano delot hafai, kwann anampa task ya right back??
Hili zimwi siijui kama nitapona..
Niko addicted na alcohol saa 12 jioni nimepiga tizi jasho kibao.
Chakushangaza saa 3 usiku nipo kwenye bia.
Ila nikaamua kulamba konyagi na ndimu za kutosha. Mtaalamu hapo vipi. Leo nimepiga konyagi nikichanganya na juis ya limao. Japo nahisi kilevi ila limao...
Wabongo wamekosa shule na kama wamekwenda shule walikuwa na shida ya kukua.
Mm Leo nitatafuta kazi mbili USA Moja wapo ni majumba ya starehe nilale hukohuko, mwishoni na make mane nalala pazuri . Sio USA peke yake. Popote developed world
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.