Kwenye media kapiga bao Lowasa lakini sina hakika na dhamira yake au kama anania njema na nchi hii au ndio uroho wa madaraka coz kakatwa na kamati kuu anakisebusebu na kiroho papo.
Hii ni hatari kubwa mpaka inafikia bado siku 90 vyama vinavyojiita mbadala wa chama kilicho madarakani awana MTU sahihi alie andaliwa kuwa raisi wa nchi hii. Kwa taarifa yenu wana Ukawa rais ni Institution kamili yenye mamlaka juu ya nchi hivyo basi ili kuwa pale sharti uwe na vigezo, sio...
Kwanza lowasa sio maasai original maasai original ni Ole Sendeka, Ole Nangolo, Ole Lekule Laizer, Ole Telele, lowasa ndio nani hata bupe wa tukuyu amjui. Hana madhala nyoka wa kibisa culture troupe.
Una uhakika kwa taarifa yako nusu ya wapiga kura wa nchi hii wapo kanda ya ziwa na mgharibi ninaposema hivyo namaanisha ukileta ukanda kama mlivyozoea mnaumia mapema, alinselema halija alinselema halija no wimbo maarufu sana mikoa ifuatayo Mwanza,Kagera, Shinyanga,Mara, Geita, Simiyu, Tabora...
Kweli mkuu hakuna namna nyingine, Makufuli ndie presidar 2015 to 2025 nyie mtasubili sana nanyi inaonekana mmeisha jiunga kwenye safari ya matumaini, Yaani ni matumaini tu pasi na uhakika mtasubili sana miaka 809.
Umoja wa wanawake mkoa wa Singida watakuwa wamewakosea sana wanawake wa Singida kama watawampeleka huyo changudoa asie na maadili wala asiyejua vibaya mwanaizaya mkubwa Bungeni. Bunge ni mahala pa kupeleka watu wenye maadili na heshima zao sio mtu wa mascandal.
Ndio hilo hilo jimbo la Butiama limekatwa kutoka Jimbo la Musoma vijijini, kwa hiyo Mkono atagombea Jimbo jipya LA Butiama ambako ndio kwao na Mhongo atasimama Musoma vijijini ambalo liko upande wa majita ambako ndiko maeneo ya kwao.
Kibajaj ana uhakika mkubwa wa kuendelea kuwa mwakilishi wa jimbo la Mtera kwa aliyoyafanya jimboni kwake, mtasema mengi kumhusu Lusinde, ukweli ni kwamba wana Mtera bado wana imani nae na ana ushawishi mkubwa tu jimboni labda waamue kukata tu.
CCM itawaumiza UKAWA kutokana kutosikiliza wananchi wanataka nini Polepole katoa ushauri kama alivyo ishauri ccm nao wakasikiliza nchi inataka nini kwa Kuondoa jina la Lowasa na Membe ili iwe Salama ili kuleta kuelekea kwenye uchaguzi wenye mvuto Ukawa awana budi kusikiliza jamii itawachukuliaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.