Recent content by buchweo5

  1. buchweo5

    Kwa ongezeko hili la kodi kwenye Mafuta ya Petroli na Dizeli tutarajie maisha ya wanyonge kuwa magumu sana

    Yap ni Yale Yale lakini ya ndege yanaongezew products fulan fulan kulingana na aina ya engine ya ndege husika
  2. buchweo5

    Kwa ongezeko hili la kodi kwenye Mafuta ya Petroli na Dizeli tutarajie maisha ya wanyonge kuwa magumu sana

    Ni kweli ndege inatumia mafuta ya taa japo haya mafuta yanakuwa yameongezewa products nyingine tofauti na haya tunayotumia kwa matumiz ya kawaida
  3. buchweo5

    Kuunda Mkoa wa Chato ni kupoteza historia ya Wahaya, Mkoa wa Chato hauna maslahi kwa urithi wa utamaduni wa Mtanzania

    Aaah amekurupuka alfu anakwambia eti mama yake Magu alikuw na asili ya kihaya
  4. buchweo5

    Kuunda Mkoa wa Chato ni kupoteza historia ya Wahaya, Mkoa wa Chato hauna maslahi kwa urithi wa utamaduni wa Mtanzania

    [emoji849][emoji849][emoji849] Mama yake Magu ni pure sukuma acha kutulisha matango pori Magu hana vinasaba vya Uhayani
  5. buchweo5

    Kuunda Mkoa wa Chato ni kupoteza historia ya Wahaya, Mkoa wa Chato hauna maslahi kwa urithi wa utamaduni wa Mtanzania

    Ulishawai kupigwa katerelo nini maana ime-stick sana kwenye ubongo wako
  6. buchweo5

    Kuunda Mkoa wa Chato ni kupoteza historia ya Wahaya, Mkoa wa Chato hauna maslahi kwa urithi wa utamaduni wa Mtanzania

    [emoji3][emoji3][emoji3] Yaaan nmecheka mpak mbavu znauma maana uhayani kuitwa mushuti ni ile hali ya kudharauliwa yaan unakuwa ni dhaifu na duni sana
  7. buchweo5

    Hello wanaJF

    Asante sana
  8. buchweo5

    Hello wanaJF

    Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa TZ, pamoja tunalijenga taifa.
  9. buchweo5

    Waziri Simbachawene, sio kila Mtanzania ana gobole kama la Mzee Machemba

    IGP alkuwa sawa siraha nyepesi ni lazma ndani ya nyumba
  10. buchweo5

    Ule wimbo 'Nchi yetu imeingia Uchumi wa Kati' umefikia tamati

    Tusubiri amalize kupanga safu yake ili baadae tuje tum_judge vzuri
Back
Top Bottom