prado mchaga zina defect kidogo ball joint zake ili uwe salama inabidi ubadilishe angalau mara moja kwa mwaka na uwe umefanya alignment ya tairi za mbele hapo utakua salama
sijajua maana huwa Wanachukuliwa mujibu hawa ambao ndo walimaliza mujibu mwezi wa tisa mwaka huu najua kozi yao inaishaga mwezi wa 7 military science alafu ndo wanaenda TMA, na kama kozi ni miezi 6 itakua labda wanaanza januari hapo naongea kwa kufikiri tu ila sijui chochote
hapo shida itakua labda kwenye wheel alignment au mounting ya engine ila kama sikosei hiyo ni 3l diesel au 5l maswala ya spark plug haina huko angaika na miguu ya gari fanya full service
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.