mzee sio wote kuna wamarekani weusi wanafuatilia sana historia now wanajenga chuo kabisa cha kufundisha historia ya Africa.mtafute mtu mmoja anaitwa Dr.Umar Johnson
inawezekana mimi niliona mtoto wa darasa la pili amebebe debe la mpunga tena kwa mwendo wa km 10 inawezekana kabisa watoto wa kijijini wanafanya kazi ngumu katika umri mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.