Namba hazidanganyi ila watu wanadanganya kama wewe mtoa mada..kuanzia mwanzo wa stor yako unasema namba hazidanganyi lakini hatuon izo namba ni zipi unazozizungumzia
Kilala Makusaro
Nitashangaa kama mengi analipwa na IPP au Rostam na Vodacom!?Wao ni wamiliki nani awalipe!?Hao waliotoa taarifa hizo ni wachumia tumbo wanaotafuta attention
.......unashangaa Mengi kulipwa na ipp? Ila principle za uchume zinasisitiza mmiliki lazima ajilipe maana nae n mfanyakaz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.