Recent content by Brownz

  1. B

    Sasa hivi kuna mstari mwembamba unaotenganisha mke na mchepuko↔️mme na hawala

    Sijui kwa nini unatumia jina la ELI COHEN lakini yule mtu alikua na akili sana.
  2. B

    Je ratiba ya waajiriwa(wanawake) inawapa nafasi ya kutimiza majukumu yao ya ndoa? Je ratiba ipangiliwe vipi ili majukumu ya ndoa yatimizwe?

    Gender equality a.k.a 50/50 imekuja na madhara makubwa sana kwenye ndoa. Ile test ya kusema ninamke inakua haipo, kupikiwa, kufuliwa, kuoga, kupakuliwa msosi, kunyolewa kunako, kupokelewa kwa bashasha na kuvulishwa nguo n.k utavipata kwa form four failure tu, au vidumu pro max.
  3. B

    Wadau hivi Sex Friend anakuwaje sielewi kitu

    And sex is not for everyone.
  4. B

    Shemeji ananitaka

    Tena shemeji mwenyewe wa mchongo tu, sio wa blood
  5. B

    Mke anashindana na mume na hataki kukubali kushindwa, nini' kifanyike?

    Samaki mkunje angali mbichi, mwamba alijisahau hapa tu.
  6. B

    Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

    Kosa ni lako mwenyewe, umetongozwa Leo Leo, ukatoa utamu Leo Leo. Sasa nani ataoa Malaya?
  7. B

    Naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair

    Tulia kwanza hadi upate uhakika wa mtoto kuzaliwa, kusema mimba tu haitoshi, usifanye maamuzi yoyote kwa Sasa ila endelea kutafakali Cha kufanya Hadi muda huo utapatajibu. Ukishindwa wewe ku solve nature itaamua.
  8. B

    Napitia wakati mgumu kwenye mahusiano

    Tulia ukomae kwanza, miaka 26 unakimbilia nini kuoa?, bado huwezi hata kuvumilia stress ndogo kama hizi za mapenzi. Unatafuta sababu za kujiua baadae ukipigwa tukio kwenye ndoa?.
  9. B

    Mpenzi wangu hajibu sms zangu, na nikienda kwake ananihoji kwa nini nimeenda?

    Daah pole sana Mkuu, hii shida itakuwa imeanzia Yanga. Chunguza vzr
  10. B

    Baada ya kusex usiku kucha alinipa tsh 2000 tu😭💔

    Duuh pole sana, alipiga bao ngapi? Hebu muanike hapa tumtafutie cheo haraka kwenye chama chetu. Inaonekana ni mhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu
  11. B

    Je, unaweza kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hii ?

    Hebu chukua tape kipime halafu utupe mrejesho tufanye uchambuzi wenye tija chanya.
  12. B

    Je, unaweza kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hii ?

    😂 Mpiga Nyeto mkubwa wewe,
  13. B

    Kamwe usimrudie Ex wako

    Chini pakiwaka moto tu principals zote huwa zinapotea ghafla, kinachobaki ni kuita mtu na kukiwasha. Majuto atabaki kuwa mjukuu milele
Back
Top Bottom