Gender equality a.k.a 50/50 imekuja na madhara makubwa sana kwenye ndoa. Ile test ya kusema ninamke inakua haipo, kupikiwa, kufuliwa, kuoga, kupakuliwa msosi, kunyolewa kunako, kupokelewa kwa bashasha na kuvulishwa nguo n.k utavipata kwa form four failure tu, au vidumu pro max.
Tulia kwanza hadi upate uhakika wa mtoto kuzaliwa, kusema mimba tu haitoshi, usifanye maamuzi yoyote kwa Sasa ila endelea kutafakali Cha kufanya Hadi muda huo utapatajibu. Ukishindwa wewe ku solve nature itaamua.
Tulia ukomae kwanza, miaka 26 unakimbilia nini kuoa?, bado huwezi hata kuvumilia stress ndogo kama hizi za mapenzi. Unatafuta sababu za kujiua baadae ukipigwa tukio kwenye ndoa?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.