Recent content by Brownz

  1. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sasa hivi kuna mstari mwembamba unaotenganisha mke na mchepuko↔️mme na hawala

    Sijui kwa nini unatumia jina la ELI COHEN lakini yule mtu alikua na akili sana.
  2. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ratiba ya waajiriwa(wanawake) inawapa nafasi ya kutimiza majukumu yao ya ndoa? Je ratiba ipangiliwe vipi ili majukumu ya ndoa yatimizwe?

    Gender equality a.k.a 50/50 imekuja na madhara makubwa sana kwenye ndoa. Ile test ya kusema ninamke inakua haipo, kupikiwa, kufuliwa, kuoga, kupakuliwa msosi, kunyolewa kunako, kupokelewa kwa bashasha na kuvulishwa nguo n.k utavipata kwa form four failure tu, au vidumu pro max.
  3. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau hivi Sex Friend anakuwaje sielewi kitu

    And sex is not for everyone.
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shemeji ananitaka

    Tena shemeji mwenyewe wa mchongo tu, sio wa blood
  5. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke anashindana na mume na hataki kukubali kushindwa, nini' kifanyike?

    Samaki mkunje angali mbichi, mwamba alijisahau hapa tu.
  6. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

    Kosa ni lako mwenyewe, umetongozwa Leo Leo, ukatoa utamu Leo Leo. Sasa nani ataoa Malaya?
  7. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair

    Tulia kwanza hadi upate uhakika wa mtoto kuzaliwa, kusema mimba tu haitoshi, usifanye maamuzi yoyote kwa Sasa ila endelea kutafakali Cha kufanya Hadi muda huo utapatajibu. Ukishindwa wewe ku solve nature itaamua.
  8. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napitia wakati mgumu kwenye mahusiano

    Tulia ukomae kwanza, miaka 26 unakimbilia nini kuoa?, bado huwezi hata kuvumilia stress ndogo kama hizi za mapenzi. Unatafuta sababu za kujiua baadae ukipigwa tukio kwenye ndoa?.
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kuna fedheha kubwa kwa mwanaume kuzidi ya kushindwa kupiga show

    Sex is not for everyone
  10. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hajibu sms zangu, na nikienda kwake ananihoji kwa nini nimeenda?

    Daah pole sana Mkuu, hii shida itakuwa imeanzia Yanga. Chunguza vzr
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kusex usiku kucha alinipa tsh 2000 tu😭💔

    Duuh pole sana, alipiga bao ngapi? Hebu muanike hapa tumtafutie cheo haraka kwenye chama chetu. Inaonekana ni mhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu
  12. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, unaweza kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hii ?

    Hebu chukua tape kipime halafu utupe mrejesho tufanye uchambuzi wenye tija chanya.
  13. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, unaweza kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hii ?

    😂 Mpiga Nyeto mkubwa wewe,
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kamwe usimrudie Ex wako

    Chini pakiwaka moto tu principals zote huwa zinapotea ghafla, kinachobaki ni kuita mtu na kukiwasha. Majuto atabaki kuwa mjukuu milele
Back
Top Bottom