Be a Man, lazima kuna sehemu ulichemka kumtengeneza awe unavyotaka, lakini pia wanawake wengi kwenye ndoa wanahicho kijitabia kiasili kujiamlia mambo bila ruhusa hasa uchumi wanahisi ni jambo lao binafsi.
Pili hiyo biashara anayofanya hao jamaa huwa wanaushawishi mkubwa sana, pengine kalishwa...
Gender equality a.k.a 50/50 imekuja na madhara makubwa sana kwenye ndoa. Ile test ya kusema ninamke inakua haipo, kupikiwa, kufuliwa, kuoga, kupakuliwa msosi, kunyolewa kunako, kupokelewa kwa bashasha na kuvulishwa nguo n.k utavipata kwa form four failure tu, au vidumu pro max.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.