Recent content by brownjosephati

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kama Tuhuma hizi kuhusu Pesa alizopewa Yanga Zina ukweli, Gerson Msigwa Jiuzulu Mara Moja ni Aibu

    we ni mpuuzi, hela imetolewa hadharani we unasem wizi hivi kuna wizi wa hadharani. kinachokuuma ni yanga kupewa na si simba au nini
  2. B

    JamiiForums Tanzania Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    kajaza wazanzibar hata sehemu ambazo sii za kimuunano
  3. B

    JamiiForums Tanzania Naipongeza sana Serikali ya Samia Suluhu kwa kujiweka mbali na fitina za Kanisa Katoliki

    hakuna muumini pale, sasa fatima wa mwananyamala ni muumini wa katoliki?
  4. B

    JamiiForums Tanzania Naipongeza sana Serikali ya Samia Suluhu kwa kujiweka mbali na fitina za Kanisa Katoliki

    wangeacha kutuma wahuni wanaojiita wakatoliki ningeamini samia amekaa kimya, ila kutuma wahuni na mafirauni kujifanya ni wakatoliki ni kukosa hoja kama wewe mwenyewe usivyo na hoja kwenye andiko lako
  5. B

    JamiiForums Tanzania Bunge la Bajeti kuahirishwa Agosti kuna nini nyuma ya pazia?

    Rais atahutubia bunge tarehe 27 June 2025. hizo story zako za vijiwe vya bangi kaa nazo
  6. B

    JamiiForums Tanzania Huenda katibu mkuu wa TEC asirejee tena kwenye wadhifa wake

    Yule ni KATIBU WA BARAZA LA MAASKOFU na kwenye vikao vyao ndo anaratibu. Katoliki syo pango la wahuni kama yalivyo makanisa mengine. Wangekuwa hawamtaki wangeshamuondoa au kumueleza humo humo ndani ya vikao. Hawaruhusu watu wajinga kama nyie kupata nafasi ya kuhoji ujinga wenu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Muachieni Tundu Lissu. Dola lazima ijue, LISSU ni Mpinzani kwelikweli yaan Mpinzani kwelikweli

    we ni mmojawapo wa wehu kama alivyo lisu na mdude
  8. B

    JamiiForums Tanzania Muachieni Tundu Lissu. Dola lazima ijue, LISSU ni Mpinzani kwelikweli yaan Mpinzani kwelikweli

    sasa ulitegemea kichaa angekua na character za aina gani. kama mtu una akili kama za mdude utegemee ni watimamu
  9. B

    JamiiForums Tanzania Ukaribu wa Mwalimu Nyerere na familia ya Freeman Mbowe

    Kama ulikuwa hujui kuwa FREEMAN MBOWE jina lake alipewa na MWALIMU NYERERE, basi wacha nikufahamishe. Watu wengi hudhani kuwa familia ya MBOWE na ile ya MWALIMU NYERERE ni maadui kwa sababu FREEMAN MBOWE ni mpinzani wa kisiasa. Hili si kweli. Ukweli ni kwamba familia hizi mbili ni marafiki wa...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Ombi: Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania hela mnazotoa kwa Serikali ku support Demokrasia zipelekeni kwa Chadema baada ya Msajili kusitisha ruzuku

    nchi haiongozwi hivyo. wanaweza pia wakazuia hela kuingia chadema mtafanya nini
  11. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kuipa Majimbo CHAUMMA na kukifanya chama kikuu upinzani Bara

    safi sana wa safi sana wacha li chadema lijifie
  12. B

    JamiiForums Tanzania Ezekiel Wenje awatosa na kuwatenga Heche, Lemma na Mnyika kwenye ziara yake ya mkoani Kagera

    THE START OF THE DEATH OF MY BELOVED CHADEMA
Back
Top Bottom