Recent content by Brown kulax

  1. B

    Tanzia: Maalim Rashid Ayoub Mshana afariki akiwa mahabusu

    Sipendi sana kujadili maswala ya imani za watu lakini ninahisi kwa uimara wa vyombo vya ulinzi vya Tanzania ukiona mtu anaswekwa ndani kuna jambo baya linamhusu. Ni mashekh wangapi wanaendesha ibada lakini hawajakamatwa? Pamoja na maelezo yangu namuombea Marehemu apumzike kwa amani!AMINA
  2. B

    Mwanaume usidanganyike huwezi kumridhisha mwanamke kama hajakuridhia kimapenzi

    Chizi Maarifa, Mkuu ongeza nguvu kutafiti kwa nini Dada zetu wanapagawa na vijana wa Kikongo ukipata jibu rudi tuendelee na mjadala
  3. B

    Ubunifu wa Profesa Kapuya alipokuwa Waziri wa Elimu na fomu za kujiunga Msalato sekondari

    tuache tabia za kujadili dini za watu wengine tabia hii inachochea chuki miongoni mwetu na hakuna mnufaika mkubwa kwenye hili zaidi ya kujiona dini ya mtu ni fahari kuliko ya mtu mwingine wakati wote dini hizi tumezikuta na zimeingiliana pia katika familia zetu. nikija kwenye hoja yako, kwani...
  4. B

    WADADA KUINGIZA KIDOLE MDOMONI.

    japo mara nyingi watu ni wagumu kutoa jibu ndio kwa maoni yako lakini kwangu ni hapana! maoni ya wadada ni muhimu kwenye mada hii kwakua wao wanajua vema sababu.
  5. B

    WADADA KUINGIZA KIDOLE MDOMONI.

    cha kati ama hata 2 kwa pamoja
  6. B

    WADADA KUINGIZA KIDOLE MDOMONI.

    Mrsleo.Nimeshindwa kuuliza kule kwenye uhalisia, kwakua nimekutana navyo zaidi ya mara 1 nikajua vipo vingi nje ya hao waliofanya hivyo. ninaamini kama si kwako kwa wengine vipo ndio nikawaza kujua how do they feel to do such a thing.
  7. B

    WADADA KUINGIZA KIDOLE MDOMONI.

    Wakuu habari za mapumziko! Ni mara nyingi nimeshuhudia wadada kuingiza vidole midomoni mwao wakati wa majambozi. Nilitamani kuwauliza ila moyo unasita! hebu wadau mkaribie tusaidiane kujua kuna connection gani kati ya tendo na KIDOLE mdomoni? huwa wana feel nini kufanya ivyo!?
  8. B

    Kero ya usafiri wa mwendokasi

    Ukitafakari kwa kina unapata majibu kwamba hata Mwl. nyerere alianzisha vitu vingi vya maendeleo lakini vilikufa karibu vyote. nadhani tatizo la sisi weusi ni management hatujawahi kuwa na historia ya kuperform vizur kwenye management si jambo la ajabu kutabiri kwamba hata hii miradi ya Rais...
  9. B

    Kero ya usafiri wa mwendokasi

    Kumbukumbu zangu zinanirudisha February 2019 ambapo Waziri Mkuu alisema kero ya usafiri huu itaisha August, 2019. Jambo la kufikirisha ni kwamba mpaka leo hii bado watu wanateseka na usafiri huu. Najipa swali kwamba kama tunashindwa kusimamia mwendokasi, treni ya SGR tutaweza?
  10. B

    Mshituko: Rais Magufuli, agoma kumsalimia kwa mkono Mkuu wa Mkoa wa Dar ndugu Paul Makonda

    Hakuna hata moja lililo sahihi kati ya hayo uliyojiuliza. Kama unajua psychology Mh Rais alishasema kwenye hotuba yake leo yakwamba ukimpenda mtu usionyeshe hadharani kwakua atachukiwa na wengine hata kuangamizwa.Hicho ndio akili yangu imekibaini.
  11. B

    Wanawake weusi zaidi ya 600 sio mchezo, kama kweli wameambukizwa

    da! black race inaonewa sana kwakweli mungu mwenyezi tuokoe
Back
Top Bottom