Recent content by Brown Charles

  1. B

    Ngeleja apongezwe kwa hili

    Ngeleja amefanya transformation kubwa sana katika sekta ya nishati na madini....ijapokuwa ni ngumu kwa sasa kuukubali ukweli kwa sababu ya petty politics
  2. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Ufafanuzi mzuri aliutoa jimboni kwake....na clouds radio wamamtafuta kwenye power breakfast akatoa maelezo safi na ukweli wa mambo ambapo hapakuwa na mashaka tena....ila tu ni watu wachache wanaomuona Ngeleja threat kwao ndio wanaopenda kuitumia ESCRoW km mwiba wa kumchoma Ngeleja...ila He is Good
  3. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Tatzo watu wanapiga sana debe kuliko kuongea ukweli.....Ukimuuliza mtu hapo kuwa okey! ts fine Ngeleja hafai bhasi yupi ambae ni msafi haswa ? anakosa jibu...yupi msafi aje hapa?
  4. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Mtu akiwa km waziri...watendaje wake wanaweza waka wabovu na ndo wanaouumizaga siku zote....na sio kwamba yeye ndio lazima ameiba...so tatzo km hilo likitokea inabid waiziri awajibike thriugh Ministerial responsibility na sio km mwizi
  5. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Ni kweli hata mi pia nimeisikia ila ile speech inaendelea ijapokuw hatukusikia jinsi ngeleja alivyojibu yale maswali....ila milkard Ayo alimuhoji live tena na aliyajibu yote vzuri tuu
  6. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Hahahaha....apart from ESCROW scandal nitajie scandal 3 nyingne ambazo Ngeleja anahusika.....na ujue katika politics kuna character assasination...kuchafuana...na ndicho kilichomkuta...hao wananchi wa sengerema mbn huwa hawaulizi hela za harambee anazotoaga na misaada mbali mbali hizo hela huwa...
  7. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Siko hapa kumpigia mtu debe...nitaongea ukweli na jinsi ufaham wangu unavyonituma....wewe ni team nani kwa mfano?
  8. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Ngeleja atosha....siasa chafu ndo zinazomchafua...ila ni kiongozi mzuri jman
  9. B

    Hoja ya ESCROW inavyotumika ndivyo sivyo kummaliza Ngeleja

    Madaraka hakuyashindwa....kwa muda aliokaa madarakani aliweza fanya mambo mengi mazuri tuu....ila cheap politics tu za watu wachache ndo zinazotaka kumuharibia
  10. B

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Hata kama kuna kuchafuana....mchafueni Ngeleja lakin ukweli wananchi wake wanaujua...Ngeleja atosha 2015
  11. B

    Ngeleja azima hoja ya Escrow

    Ameprove big failure how??
  12. B

    IMF: Tanzania now 10th largest economy in Africa, up from 12th

    Hahahahaha wazungu wabayaaa sanaaa jmaan! Daah
  13. B

    Ngeleja azima hoja ya Escrow

    kiukweli huyu jamaa wa kuitwa Ngeleja ipo namna....maana kila kijana ni Ngeleja...yapo mengi sana mazuri ameyafanya....na amenishawishi nimfatilie zaidi maana inaonesha ana kitu cha pekee
Back
Top Bottom