Sioni swala la kumshambulia Lowasa, hpa kinacho zungumziwa ni swala la uwajibikaji na sio Lowasa. Kikubwa hapa ni swala la kupuuzia report ya Tume ya Lowasa baada ya kuanguka kwa jengo na kuua. Acheni ushabiki wa kijinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.