Nna wasi wasi sijapata siku zangu nimechelewa wiki ya pili sasa mpaka naanza kuhisi nna mimba lakini pia nahisi ni hizi dawa je inawezekana ni chanzo?
Nlijiskia kuumwa nlipoenda kupima nkaambiwa mma typhoid laja nlipoanza hii dozi ni siku ambazo mzunguko wangu unaanza. Mwenye kufahamu a...
Ndio maana nimeanza kwa kusema kwamba hao wote waliamua hakuna masihara hapo, sasa huoni kabisa umejiandaa kubaka kwanini ulazimishe kumuingilia mtu kama hayupo tayari?
Labda sijaelewa mbona visa vingi naona dhahir wote mmepewa kwa hiari sio “kimasihara” na Kuna baadhi yenu mmebaka kabisa.
Na mkae mkitambua mpaka unavuliwa chupi na mwanamke ni yeye ameruhusu unaweza kulala na mwanamke kitanda kimoja akiwa hata mtupu na usifanye au kupata chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.