Unajua jambo kubwa wanalikosea watu ni aina ya mawakili wanaotumia Peter Madeleke akishatumiwa jambo linabadilishwa kuwa la Kisiasa na uhuru wa mahakama hakuna siasa ndio inaendesha kila kitu, yule mama Singida kaibiwa ushahidi upo watuhumiwa wamekamatwa Babati ila hakuna kilichofanyika hadi...
Polisi hawahusiki na kesi za madai kesi za madai zinaenda kuanzia level ya serikali ya mtaa mpaka mahakamani , Hao jamaa walitakiwa wampeleke mahakamani mkataba uwe reviewed then waangalie terms zilizowekwa kwenye mkataba kama moja akivunja mkataba nini kinafanyika.
Nadhani jamaa wa Mtwara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.