Njia ya asili tumia mbegu za mlonge pia ...pondaponda au saga tia kwenye maji , uchafu vumbi tope linaendaa kukaa chini , chuja chemsha
Inasaidia kuua vijidudu pia kwenye maji
Wachangiaji nao wamezidi wamemkalia kooni Sana
Wana complicate tu mambo ....yeye alitaka tu maoni hali ya kibiashara Ikoje in general , ila watu wanajikuta much know
Mtu anatakiwa ajibu Mimi nafanya Biashara flani hali ya kibiashara iko moja mbili tatu ..Sasa wenzangu na Mimi kucomplicate...
Kwanza Anzia sokoni kwa maana ya wateja wako I.e Utauzia wapi au utauza kwa namna gani ? Au utauza vipi ..
Maana Biashara bila wateja sio Biashara
Step 2 Tafuta Machimbo huko kkoo kwa Bei ya jumla bahati nzuri tuna Kalaga Baho Nongwa mtafute naimani atakupa muongozo mzuri Kulingana na kiasi...
Kabla ya Kutafuta hilo shamba ... hebu ongeza ongeza hako kaela kwanza ... Naona ili ufanye cha kueleweka huko shamba uwe na mtaji wa kutosha na Pesa ya kusurvive wakati wa kusubiria mazao
Au mna mashamba kwenu ?
Kwa mtaji huo fanyafanya umachinga au u winga , hebu fuatilia nyuzi za Machimbo...
Ushauri mzuri Sana hasa kwa wanojitafuta ..
Hizo pesa mtu anazo save azitumie Kama mtaji wa kujiongezea kipato ili next time asijitese Sana kwenye kubana matumizi awe ana enjoy Sasa
Asante Sana Ndugu mtoa mada, ubarikiwe na Bwana
Mtoa mada Asante , ubarikiwe na Bwana.
Sasa nashangaa hao majamaa hapo juu wamekukalia kooni , wakati wewe umejaribu kuwaonyesha fursa , wako busy wanakosoa wakati hizo Biashara tajwa wapo watu wanazifanya hapa Dar na maisha yanakwenda vizuri , Sasa wao wanabisha nini ?
Mtu hana mbele hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.