Recent content by Bright-eight

  1. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Hahaa,, kwenye vikombe hapo... Sijui tufanyeje, lkn navyoona timu y mourinho naishiwaga nguvu kabisa! Uliona sanchez alivyokua anamkaba gundogan..[emoji2960] Kama kweli mourinho anataka vikombe hvyo,, aanze kubadili game approach sasa, na kujua kwenye defence anaenda na wapi ambao nao tunatak...
  2. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Nimekuelewa sana mkuu Mbeya City Spurs I [emoji106] Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
  3. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    [emoji4] Nakubali mkuu. Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
  4. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Kuna vitu viwili ambavyo ni muhimu sana kueleweka kuhusu SPURS. 1. Usajili na better scouting. Naomba tukumbuke, ni lini spurs iliweza kusajili wachezaji wazuri. Wote tutakubaliana nami kwamba ni kipindi kabla Gareth Bale hajauzwa. Maake hela ya Bale pale tulibahatika tu kupata Eriksen wengine...
  5. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Tatizo ni kutobadilisha kikosi kw muda mrefu,, hasa back line na midle Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
  6. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Fucking defending,, Daily songs individual mistake & poor defending.
  7. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Tupo wakutosha tu bro,, We do support our team.
  8. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Tukishinda itatia molari chanya sana kwa vijana wetu...[emoji4]
  9. B

    Elimu yangu ni shahada ya Takwimu na Hisabati, natafuta kazi yoyote halali

    Kazi mbona zinatangazwa kubao sana za sekta yako mjomba. Utasikia tunataka, Data officers, data clerker, monitoring & evaluation officers, statistics, etc Unaona ngumu, ana hata kwa volunteering somewhere ku-boost experience & ur CV. Itakusaidia sana[emoji4]
  10. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Yeah,, tuna support team yetu. Mpira ni burudani, chagua ucheze ngoma ipi. Your welcome!
  11. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Typical poor defending from Dier! Each time we are lost of an individual mistake on defending. We need good defenders to play that Fucking defensive game of mourinho. Unless otherwise we re not getting far[emoji19]
  12. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Asubili tumnyoe baadae Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
  13. B

    Tottenham Hotspurs Thread

    Uko sahihi kabisa mkuu.. Mimi ni shabiki mkubwa sana wa spurs since 2008. Lkn kuna mambo ambayo naona hayako sawa kabisa kw spurs y mourinho. 1. Mis-trust kwa baadhi ya wachezaji: kuonyesha kuto kumwamin mchezaji kunasababisha poor perfomance. Angalia Dele, Tobby, na wengine kama hao wako tofaut...
Back
Top Bottom