Recent content by Bravo Engliash

  1. Bravo Engliash

    JamiiForums Tanzania Riwaya za Kiswahili ambazo hazitakuja kuandikwa tena

    FEDHA ILIYOTELEZA- nakitafuta sana hiki kitabu kwa muda mrefu sana. Nakipataje mdau?? Iwe hardcopy au softcopy
  2. Bravo Engliash

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye soft copy ya riwaya ya mkimbizi

    Shukrani sana mdau
  3. Bravo Engliash

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye soft copy ya riwaya ya mkimbizi

    Shukrani sana mdau
  4. Bravo Engliash

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

    Umughaka...Mzee wa mizagazuguano...hongera sana kwa stori zako
  5. Bravo Engliash

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Ila Umughaka umetisha sana....kumpelekea moto wa nguvu msukule....huo ujasiri wa kiwango cha kimataifa...daaaah aisee 🤣🤣🤣
  6. Bravo Engliash

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Kupitia stori yako nimejifunza na kulink matukio/stori tunazosikia mtaani......utasikia tajiri wa mabasi alikuwa anawatoa kafara madereva wake lakn sasa hv kabadili anatoa kafara ya wanyama Stori nyingine kwenye magari ya watu binafsi...utasikia kiti cha mbele kina mwenyewe....mtu anafanya...
  7. Bravo Engliash

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Vp kuhusu hao wanafanyakazi ambao uliwatafutia ajira kwenye mgahawa na wanatakiwa kufa kama kafara....hukufanya mpango wa kuwashtua hata kupitia kupitia indirect ili kuwaokoa kwa huruma ya kibinadamu na huo msala wa kuwa kafara??
  8. Bravo Engliash

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Stori yako ni somo tosha sana katika maisha....kuna mengi sana ya kujifunza hasa kuhusu utajiri na tamaa ya fedha na maisha mazuri Utajiri una siri kubwa sana ndani yake....watu wengi kwenye biashara wanaamnini bila uchawi hawawezi kufanya biashara Hongera kwa mapambano yako...ujasiri wako wa...
  9. Bravo Engliash

    JamiiForums Tanzania Aisee! Facebook kuna vituko

    Hahaaaa kweli kabisa
  10. Bravo Engliash

    JamiiForums Tanzania Opinion: Dr. Shika Ana Hali Fulani, Anahitaji Msaada, Huruma, Upendo na Protection of His Right to Privacy!.

    Tusiwe wepesi sanawa kuhukumu mapema. Ukisikiliza interview zote za Dkt.Shika utagundua kuwa he is very smart na sivyo kama jamii ilivyokuwa na inavyoelewa
  11. Bravo Engliash

    JamiiForums Tanzania Dkt. Louis Shika aeleza Magumu aliyopitia hadi akatoroka Urusi. Alitekwa na kukatwa Vidole, Tanzania ilimtelekeza...

    Kweli kabisa, waTz tunahukumu mapema sana kutokana na muonekano wa mtu. Tubadilike. Dont judge a book by its cover Huyu mzee yupo very smart kichwani...kama kweli hela anazo apewe nafasi azinunue...waangalie account zake kama kweli hela anazo (na sio kanjanja)
  12. Bravo Engliash

    JamiiForums Tanzania Madame B niko online, niulize swali lolote kunihusu mimi, iwe ni Mapenzi, Mahusiano na mengineyo

    Hongera sana madame B kwa kuwa kufunguka to the maximum....aisee ni wachache sana wanaweza kuweka private lives zao kwenye social media kama hapa.
  13. Bravo Engliash

    JamiiForums Tanzania Ushungi kitu gani bana?

    Kama unatumia simu...click (bonyeza) hiyo picha halafu itatanuka kwenye screen (zoomed out...halafu juu upande wa kulia wa somu utaona vi-doti (dots)....click hapo halafu utaona option ya ku-save picha
  14. Bravo Engliash

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mkuu hiyo avatar yako hatarii sana...watakuwa ni watu wasiojulikana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom