Kupitia stori yako nimejifunza na kulink matukio/stori tunazosikia mtaani......utasikia tajiri wa mabasi alikuwa anawatoa kafara madereva wake lakn sasa hv kabadili anatoa kafara ya wanyama
Stori nyingine kwenye magari ya watu binafsi...utasikia kiti cha mbele kina mwenyewe....mtu anafanya...
Vp kuhusu hao wanafanyakazi ambao uliwatafutia ajira kwenye mgahawa na wanatakiwa kufa kama kafara....hukufanya mpango wa kuwashtua hata kupitia kupitia indirect ili kuwaokoa kwa huruma ya kibinadamu na huo msala wa kuwa kafara??
Stori yako ni somo tosha sana katika maisha....kuna mengi sana ya kujifunza hasa kuhusu utajiri na tamaa ya fedha na maisha mazuri
Utajiri una siri kubwa sana ndani yake....watu wengi kwenye biashara wanaamnini bila uchawi hawawezi kufanya biashara
Hongera kwa mapambano yako...ujasiri wako wa...
Tusiwe wepesi sanawa kuhukumu mapema.
Ukisikiliza interview zote za Dkt.Shika utagundua kuwa he is very smart na sivyo kama jamii ilivyokuwa na inavyoelewa
Kweli kabisa, waTz tunahukumu mapema sana kutokana na muonekano wa mtu. Tubadilike.
Dont judge a book by its cover
Huyu mzee yupo very smart kichwani...kama kweli hela anazo apewe nafasi azinunue...waangalie account zake kama kweli hela anazo (na sio kanjanja)
Kama unatumia simu...click (bonyeza) hiyo picha halafu itatanuka kwenye screen (zoomed out...halafu juu upande wa kulia wa somu utaona vi-doti (dots)....click hapo halafu utaona option ya ku-save picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.