Recent content by brave one

  1. brave one

    Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

    Yaani Simba imeuzwa kimya kimya kama Bangi
  2. brave one

    Rekodi: Yanga vinara wa magoli CAFCL huku Simba ni vinara wa yellow cards

    Simba Kuna straika anaitwa Fred yule jamaa jina la kisasa anaitwa defending striker yaani starika mkabaji anachezea sana rafu hamalizi mechi bila kadi
  3. brave one

    Tetesi: Van Dabroek kutua Simba SC

    Kanuni ni Ile Ile X- harudiwi shauri zao
  4. brave one

    Simba ijitoe CAF Club Champions 2023/2024

    Mpaka fainali ni mechi 6 mkuu maana ni home anda away
  5. brave one

    Simba ijitoe CAF Club Champions 2023/2024

    Mtoa mada acha upotoshaji Africa super league itakuwa ya mtindo wa mtoano yaani robo, nusu na fainali kwaiyo ni mechi 6 tu kama timu itafanikiwa kufika fainali
  6. brave one

    Takwimu: Baleke vs Musonda

    Musonda ana assist 3 Vs mazembe Vs real Bamako Vs US monastr
  7. brave one

    Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

    Dejan aliondika kwasababu Simba hawakutimiza matakwa ya Kim katana kama kumpa nyumba binafsi na gari lakini Faisal hakuna asichotimiziwa kwenye mkataba anataka kuvunjwa kwasababu za nje ya kimkataba
  8. brave one

    Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

    Msuva alikuwa na kesi ya madai ya msharaha na signing fee ambayo wydad hawakumalizia kulipa ndo maana akagoma kurudi kuchezea ndo maana kesi yake ilikuwa rahisi na straight forward lakini Fei hakuna anachodai Yanga anataka tu kuvunja mkataba kwa kujisikia tu
  9. brave one

    Takwimu: Baleke vs Musonda

    Tuanze na ya NMB
  10. brave one

    TAMKO- Kuondoka neno wanaume kama kundi athirika kwenye mpango kazi wa taifa kutokomeza ukatili

    Got Rebecca Gyumi Mjumbe akiongea na waandishi wa habari na kutoka msimamo huo wa kundi linalotetea haki za wanawake na watoto dhidi ukatila anasema "Sisi kama tapo la utetezi wa haki za wanawake na watoto nchini Tanzania, tumeshtushwa na pendekezo lililotolewa la kujumuisha wanaume, kama kundi...
  11. brave one

    Yanga ina bahati ya kupata washambuliaji hatari kutoka nje ya Tanzania

    David Molinga hakuwa straika mkali wa kawaida San aiseee
  12. brave one

    FT: Dodoma Jiji 0-2 Yanga | Ligi kuu NBC | Liti

    Simba anaongozaga ligi kama status za Whatsapp 24 hours
Back
Top Bottom