Mtoa mada acha upotoshaji Africa super league itakuwa ya mtindo wa mtoano yaani robo, nusu na fainali kwaiyo ni mechi 6 tu kama timu itafanikiwa kufika fainali
Dejan aliondika kwasababu Simba hawakutimiza matakwa ya Kim katana kama kumpa nyumba binafsi na gari lakini Faisal hakuna asichotimiziwa kwenye mkataba anataka kuvunjwa kwasababu za nje ya kimkataba
Msuva alikuwa na kesi ya madai ya msharaha na signing fee ambayo wydad hawakumalizia kulipa ndo maana akagoma kurudi kuchezea ndo maana kesi yake ilikuwa rahisi na straight forward lakini Fei hakuna anachodai Yanga anataka tu kuvunja mkataba kwa kujisikia tu
Got Rebecca Gyumi Mjumbe akiongea na waandishi wa habari na kutoka msimamo huo wa kundi linalotetea haki za wanawake na watoto dhidi ukatila anasema "Sisi kama tapo la utetezi wa haki za wanawake na watoto nchini Tanzania, tumeshtushwa na pendekezo lililotolewa la kujumuisha wanaume,
kama kundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.