Recent content by Bratherkaka

  1. Bratherkaka

    Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

    At least you get the point.
  2. Bratherkaka

    Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

    Bus hata nauli unatakiwa lipa wakati wakushuka, ma worry is. Wakati unapanda kuwe na utaratibu wa kupima mzigo. Kwenye ticket yako inasema kabisa nauli umelipa kiasi hizi uko na mzigo wa uzito huu na gharama yake ni hii. Me ninda risiti ya mzigo. Alipo dai pesa. Shida sio kulipia au kuto lipa...
  3. Bratherkaka

    Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

    Najua mzigo unalipia, but analipa wakati wa kushuka au wakupanda? na konda ndo anajua mzigo.?
  4. Bratherkaka

    Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

    Habari, Jana nimepata bad exeprience na basi la MTEI (T305 DTS) kutoka tanga to Arusha, ni mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yangu yakusafiri na mabasi. Wakati wakushuka konda anaomba hela ya kulipisha mzigo. Sijui jinsi ya kuweza kutatua hili tatizo, nimejaribu kuwapigia simu yao...
  5. Bratherkaka

    Naomba kujuzwa jinsi ya kupata certificate of COVID-19 Vaccination

    Asante sana, duu, inamanisha hata kwa walio poteza sms kwa kufuta message, itabidi waende. Duu
  6. Bratherkaka

    Naomba kujuzwa jinsi ya kupata certificate of COVID-19 Vaccination

    Guys, Nimepata Choja ya covid19 week ya kwanza tu ya utojia, Hadi leo sijapata message ya kupata cheti, Naona wanaona choma hivi karibu wanapata message zina link ya cheti, Njia gani naweza pata cheti, nimeangalia kwenye website ya wizara ya afya bila mafanikio. Help me out. Thanks
  7. Bratherkaka

    mafunzo ya udereva Arusha

    NIkijua wanapo fanya nitakwenda.
  8. Bratherkaka

    mafunzo ya udereva Arusha

    Ndo maana nimeuliza!
  9. Bratherkaka

    mafunzo ya udereva Arusha

    habari! leo nimesikia kwenye matangazo ya barabarani kutakuwa na mafunzo ya bure ya udereva na mwisho unapata cheti bure. kama kuna yeyote amesikia naomba anisaidie kujua mahali ambapo mafunzo yatafanyika, sikuweza kusikia mahali wanapo fanya mafunzo. i need more information about it. thank you
  10. Bratherkaka

    HESLB waachia majina 11,481 ya wanafunzi waliopata mkopo awamu ya pili 2017/18

    Hello! naomba kama kuna mtu amesha download batch 2 ya mikopo ashare hapa,, naona website yao iko down
  11. Bratherkaka

    Wanachuo vihiyo wasio na sifa walio vyuoni kuondolewa mwezi ujao

    Hatari sana..wanajaribu kupunguza matumiz...kwa kupunguza majipu...sema wanatakiwa kuweka wazi vigezo ambayo watatumia kuwa toa chuoo..kama ni hiv vipya au vipi [emoji102][emoji102]
  12. Bratherkaka

    Msaada: Utaratibu wa kufwata ukipoteza cheti cha form 4

    Hello! Naomba msaada wa taratibu zote za kufwata wakati umepoteza cheti cha form4 hadi uweze kukipata cheti kingine. Asante sana.
  13. Bratherkaka

    LOAN BOARD 2015/2016 PROBLEM

    Hello! Ningumu sana kuelewa na kuamini kwangu hivi vitu, ni kama mara ya tano au sita najiribu post tatizo na bodi ya mikopo mwaka huu hapa jamvini. Nimefanya mambo yote kama walivyo agiza lakin mwisho wa siku inaishia kufail at end. Nimeomba mkopo, nimeenda face to face kwenye office zao, nime...
  14. Bratherkaka

    Loan Board 2015/2016 appeals iko open now

    Hello! Bodi yetu ya elimu ya juu inatakiwa kuwa ya mfano kwenye elimu yetu lakin naona ni tafauti kidogo, system imekuwa wazi tangu jana lakin bado kuna error cjui kwanini sasa mnaweka wazi kitu ambacho akifanyi kazi.. unajanza information zako zote still system inakwambia incomplete...
Back
Top Bottom