Recent content by Brabazone

  1. B

    Kitendawili cha watu waliojenga mapiramidi ya Misri tayari kimeshateguliwa

    Duuh!! Nimepitia comments zako nyingi tu nimepita kimyakimya, ila kwa hii nimegundua wee ni kilaza aliyechangamka!!
  2. B

    Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

    Ni story za vijiweni mkuu, na wanaozizusha ni hawa hawa wanaopinga stick mashuleni na madai yao wanakwambia wanaosoma zile shule ni watoto wa matajiri hivyo hawapaswi kuguswa na fimbo hata wakikosea, yaani wao wanaamini kumchapa mtoto hata kama akikosea ni kumuonea, watakwambia mtoto akikosea...
  3. B

    Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

    Upo sahihi, kuna shule moja ya private nyanda za juu kusini, mzazi anapopeleka mtoto kwa mara ya kwanza anapewa angalizo kabisa kama hataki mtoto wake achapwe arudi nae tu, hawapo tayari kulea watoto wazembe, watukutu n.k
  4. B

    Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

    Story fikirishi sana, yaani hii ndiyo hali halisi ya maisha ya mtu mweusi.
  5. B

    Jengo refu kuliko yote Tanzania hadi mwaka 2022

    Watu ndio hufuata majengo, majengo hayafuati watu, Mlimani city nani alitegemea ingekuwa hivi ilivyo issue ni marketing tu hayo majengo soon yatakuwa full mpaka utashangaa.
  6. B

    Jengo refu kuliko yote Tanzania hadi mwaka 2022

    Sio Bongo tu sema Africa jengo refu la floor 50 lililoshikilia record kwa miongo kadhaa Africa ni Sandton tower Johanesburg, majengo marefu Africa yalikuwa hayazidi floor 32, majengo ya floor 50 ya hivi karibuni ni Iconic tower Egypt ambalo bado halijakamilika, Britam tower Nairobi ambalo...
  7. B

    Sumu ya kuua kunguru ni ipi?

    Hawakuletwa na mzee Ruksa kiongozi hawa waliletwa Zanzibar kutoka India miaka ya 70 lengo likiwa kuwatumia kuondoa mizoga maeneo ya ufukweni bila kufahamu madhara yake, basi wakaanza kuzaliana kwa kasi ya ajabu ndio wakaanza kuhamia maeneo mengine ya pwani ya bara kwa ukorofi wao wakaanza...
  8. B

    Kwa gari hii niliyonunua jinsi watu wanavyonipa heshima, sasa sijui ingekuaje ningenunua BIMA!

    The Lex, coupes, jeeps, BIMAZ and benz- Lost boyz. BIMAZ = BMW's
  9. B

    2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

    Na meli za mizigo pia, kuna meli ya mizigo matangazo yake yapo Azam tv, Mapembelo freight, hiyo nayo hajaona.
  10. B

    Jinsi counter wa baa alivyoibiwa pesa

    Nilichoelewa ni kwamba yule tapeli alisave namba yake kwenye simu ya counter kwa jina "BOSS" sawasawa na vile counter alivyosave number halisi ya boss wake, kwahiyo tapeli alipowasiliana nae kwa kutumia namba yake(tapeli) kwa counter jina linatokea "BOSS"
  11. B

    Jinsi counter wa baa alivyoibiwa pesa

    Hilo nalo neno, nilishawahi kuikuta sehemu hiyo, boss alikuwa anawarubuni macounter kutoka bar zingine alikuwa anapoint zile pisi kali anawaahidi mishahara mikubwa, mwisho wa siku anawachezea michezo kama hiyo ya kitapeli halafu anakimbilia kwenye kuwakata mishahara, yaani kila counter aliepitia...
  12. B

    Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

    Hiyo mbona rahisi tu kuukwepa huo utapeli, kama dead line ya kulipa inakaribia pesa ya kulipa unayo na anakukwepa unaenda polisi au mahakamani na vielelezo vyote then unarudi nyumbani huku unapiga mluzi tu.
  13. B

    Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

    Hakuna ubabe hapo kwani huwa anawafuata majumbani kwao kuwataka awakopeshe au wao ndio humfuata kuomba mikopo? Hata mabenki yakikopesha ukishindwa kulipa dhamana hupigwa mnada kulipia deni nayo pia hutumia ubabe? Dawa ya deni kulipa hamna namna nyingine.
  14. B

    Ushauri jamani, nimeshaharibu sinunui tena vitu used

    Halafu sasa hivi kuna maduka mengi tu k,koo yanauza simu used kali tu kutoka nje zinauzwa kuanzia 200k na kuendelea mfano samsung s6,7,8 na9 iphone 6,8,9 sony xz1, 2, 3 unapewa risiti na guarantee. Unachofanya unawatafuta online kupitia kupatana zoom au jiji buy online ukiwasiliana nao unaenda...
Back
Top Bottom