Recent content by bra

  1. B

    Watanzania sasa waamuka

    Haya asante
  2. B

    Watanzania sasa waamuka

    Mimi kwa mtazamo wangu naona kabisa watanzania tunashauku kubwa na yakila namna katika nyanja ya kisiasa.., muda c mrefu tuta anza kuona na kushuhudia watu walewale walokuwepo kwenye mkutano wa UKAWA nihaohao watakao hudhuria kwenye mkutano wa CCM na vyama vingine kinacho fanyika ni...
  3. B

    TCU quality assurance: Huu ni wizi katika elimu ya juu

    Nimeamua kuandika hili jambo muone ni jinsi gani wanavyuo tunavyo nyanyaswa na kulazimishwa kulipa malipo ambayo hayako uniform kwa maana kwamba badhi ya vyuo kama SUA, MKWAWA, UDSM na vingne vingi kutotambua hiyo pesa na hawalipi lakini chuo kama universty of Iringa (Tumaini) wakitakiwa kulipa...
Back
Top Bottom