Kwa jinsi nilivyoona ile move, mimi nigewaweka masaa kumi na mbili, nchi hii tumefika hapa tulipo kwa sababu ya kufanyakazi kwa mazoea, kulindana, tukijifanya tunajua sheria na kujitetea sana ili kupoteza muda mwingi katika hali hiyo, wakati mwingine tukitunga sababu za uongo uongo.
Haiwezekani...
Kwa mtazamo wangu, Mheshimiwa Rais angetafuta meza ya malidhiano kwa sababu yeye ndio rais anayetambuliwa na katiba kwa miaka mitano. Tofauti na hapo tutegemee mambo magumu sana katika nyanja za kijamii na kiuchumi. Hata ndani ya CCM tunamsikia akilalama kuna wasaliti. Alejee kwa mtangulizi wake...
mara nyingi ni wa kukurupuka, nimeona komenti humu inasema vifaa vile vikiharibika ni kampuni moja tu inayoruhusiwa kutengeneza na imeingia mkataba na wizara, na jamaa alitoa taarifa wizarani wakawa wanazingua. Sasa kumuondoa jamaa kwa sababu hii hatuoni kuwa ni uonevu? kwa nini asifukuze watu...
Tuliambiwa na msemaji wa jeshi kuwa Generally yupo nje ya nchi kwa siku kadhaa, ambapo tulitegemea kumuona octoba mosi 2015, sasa ni octoba 14/2015. familia imeibuka na single nyingine!!!!!!
Time will tell the truth.
Napendekeza angeibuka yeye mwenyewe na kuzungumuzia habari hii ili...
Aende zake huko, mwanzake kalamba jokeli angonga juisi jirani! sina hakika kama na yeye watamkumbuka! Ngoja tumwache ajiishie taratiiiiiiibu. Kwani hawezi danganya watu wote, kila wakati!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.