Jamn njia ya kutoboa saiv kwenye nchi yetu ya tanzania n ubunifu wako yaan kaa fikiria nchi hii kwa sasa iv inaelekea wap na inahitaj kitu gan kufika hapo mm nadhan ndo njia pekee ya kutoboa kuliko kutegemea ajira kutoka serikalin mfano sasa iv kuna mradi wa sgr na mrad wa bwawa LA umeme LA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.