Recent content by boufer

  1. boufer

    Nina ADO naomba kazi ya kuuza pharmacy au NURSE kwa Dispensary

    Heri ya mwaka mpya wana JF, kwa mwenye uhitaji wa mtu wa kuuza pharmacy au NURSE anicheki, nina cheti cha ADO na nimesoma Medical Attendant, nina uzoefu mkubwa wa hizo kazi zote zilizomention hapo juu, mawasiliano yangu 0672498183, KITUO CHA KAZI KIWE DAR ES SALAAM, asanteni
  2. boufer

    Msaada wa shule za msingi za serikali za kulipia zilizopo manispaa ya Temeke

    Km tittle inavyojieleza wakuu, naomba majina ya shule za msingi za kulipia zinazopatikana Manispaa ya Tmk! Nawasilisha
  3. boufer

    Pendekezo la Biashara ya kuchakata maji ya kunywa

    Uz kwa rejareja usiwaze kufungasha kwny machupa weka mashine eneo zuri lenye watu wa kawaida utasahau hata mambo ya kuweka kwenye machupa
  4. boufer

    Pendekezo la Biashara ya kuchakata maji ya kunywa

    Sahihi na hata hiyo mashine kwa amabo wanapiga hela hapa dar wanauza kwa reja reja bila vifungashio yani mtu anakuja na chupa yake kuchukua maji, kuna mshkaji yupo anapiga zaidi ya 150 per day na ni mradi mpya
  5. boufer

    Kimetulamba kwenye written interview

    Utumishi wako hivo mara zote na ukiona mtu kafaulu basi walitoa aliposoma ila wakitoa ambapo hujapitia basi kimekuramba
  6. boufer

    Nishaurini kuhusu kujitolea halmashauri

    Habarini wakuu,nimeomba nafasi ya kujitolea kwenye halmashauri,nashukuru Mungu nimepata nafasi ila nawaza kwa huu mfumo wa kila ajira kupitia utumishi,vipi kujitolea kunaweza kuwa na tija nje ya kupata uzoefu?maana kwa zamani ukijitolea halmashauri kuna viajira km utendaji unaweza kupata vipi...
  7. boufer

    Msaada majina mawili kwenye Academic Certificates na kitamburisho

    hakuna shida nina interview 3 utumishi cert majina 2 vitambul ma3 sijawahi hata kuulizwa,jiandae na interview mkuu
  8. boufer

    Je, kuna umuhimu kama taifa kufanya usaili kwa kada ya Afya na Ualimu ndo Uajiri?

    :p:p:ppiga nyundo nyngn bado anapumua huyo
  9. boufer

    Je, kuna umuhimu kama taifa kufanya usaili kwa kada ya Afya na Ualimu ndo Uajiri?

    :p:p:ppiga nyundo nyngn bado anapumua huyo
  10. boufer

    Kutokupata ujumbe wa kukamilisha kutuma maombi kwenye ajira portal inaweza kua tatizo

    hakuna haja ya notification,km kwny your application ipo received bs subr interview
  11. boufer

    Mliofanya usaili ajira za Afya tupeni update hali ilikuwaje

    kwahy kwa kutumia computer unatyp km unaandka assignment au ni multiple choice?komputa mmeitumiaje yaani
  12. boufer

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Social worker/community service worker
  13. boufer

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Uhitaji : kazi zote zinazohusiana na jamii (social works) Mahali : popote Tanzania Uzoefu : zaidi ya miaka mitatu(3) Jinsia : me
Back
Top Bottom