Waamabie ukweli,baada ya kukaa bara na kutumia fursa zinazopatikana katika rasilimali ziliopo huko Tanganyika wakachimba madini,kuvua samaki au kulima kilimo cha kisasa wanakuja Zanzibar kuuza karanga,kumwagilia bustani za mahotel,kudanga,wnaranda zanzibar nzima kwa miguu wakikuuza...