Hiyo serikali Ina maana gani kama watu wake wanachapwa risasi mchana kweupe halafu imekaa kimya kuanzia akina mdude, Sola, ally kibao na mauaji makubwa ya Tarehe 29 Oct
Tumefiwa wapendwa wetu kwa risasi Hadi tumepanick juu ya kuenenda kwenye taifa hili. Huruma ya Mungu iwe juu yetu, kama taifa tuwe na namna Bora ya kusuluhisha jambo hili. Ili wasio na hatia wasifikwe na madhara kama hayo yanayoweza kutekelezwa na wananchi wenye hasira Kali. Mungu tuhurumie...
Hakuna ushindi wa namna hiyo, Samuya kwanza form 4 failure alikuwa hawezi hata kupata marks 50% kwenye masomo yake. Aje apate 98% ya kura, hiyo ni faraja ya mjinga kujiona na yeye ni genius.
Naona mwana CCM umeongea kizalendo zaidi. Kupitia jf hata CCM wanapata platform ya kuandika HOJA zao kwa ajili ya watanzania wote. Itakuwa uhuni kufungia jukwaa hili kwa maelekezo ya upande mmoja
Mimi naona kama Mzee alienda UTV kujisafisha lakini Tido Mhando angeuliza maswali technical kama haya, sidhani kama Mzee Aziz angeendelea na interview hiyo;
1. Mheshimiwa Rostam Aziz, umedai kuwa wawekezaji wa ndani hawapewi nafasi kwenye sekta ya madini kwa sababu hawana "creditworthiness"...
Islam wanafeli sana kutotambua nguvu ya Yesu kristo mapema ili wakombolewe dhidi ya mapepo machafu na majini.
Hongera kwako hamis77 kwa kumtambua Yesu kristo na kujichomoa huko kwa majini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.