Nawashauri katika App yenu Wekeni option ya kupata Mpesa statement na mteja aweze kupata statement yake kwa muda anataka hata kama niya mwaka mzima as long as anatumia hiyo app hii ya kwenda kwenye maofisi yenu I napoteza muda na bado ukifika milolongo inakuwa mingi mara ukitaka printed ulipie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.