Watoto wa siku hizi hawafunzwi value ya vitu. Hawajui thamani ya chochote. Enzi zetu mtoto ana miaka mitatu ameshajua kitu flani cha mama na kitu flani cha baba sio cha kushikashika, au kitu flani ni cha thamani kubwa kwa wazazi. Kuna jirani hapa ,eti mtoto alikasirika akatupia kikombe kwenye...
Chuo kuna jamaa mmoja alikua anahang na wadada tu, kwa pozi zake na kukatika kwenye mziki tukajua tu uyu sio mwanaume. Sasa mchizi wangu alikua anakula demu rafiki yake. Yule manzi akija kwa mchizi wangu akaanza kunipa stori jinsi jamaa anavyonitaka 🤔. Sema hio michezo sinaga nikapotezea mazima .
Ndoa tamu sana sema these days watu wanaipaka sana matope. Inasababisha kisaikolojia watu wanakua na picha mbovu.
Cha muhimu kwanza marry your type muwe washkaji, me nainjoi sana sometimes natamani madem pembeni ila sina ata mzuka nao ,nawaona kama madada na ndugu tu. Main reason nyumbani...
Kawaida sana kwa manguli. Jamaa yangu aliachwa na demu wake ,aliumia sana hadi stress. Hakuweka uadui. Mpaka manzi akaolewa na jamaa alie mchkua. Mchizi wangu kwa ugumu na harusi akachangia. Baadae kidogo aliendelea kupewa tunda kimasihara hadi leo. Wamekua marafiki kama kawa. Namuonea huruma...
Swahiba wangu kitambo tunatafuta kazi baada ya chuo, aliachwa na wakumoyo wake. Hakugombana nae na waliendelea kuongea. Akirudi uku alikua ana mauchungu analialia . Dada kaolewa na jamaa ana kazi na kasogea kidoogo kimaendeleo. Ila sasa yule bibie anamkumbuka jamaa, mchizi akitaka mambo bibie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.