Mimi ni kijana wa umri wa kati nafanya biashara nimejiajiri,nimeamua kutafuta rafiki wa kike wa kudumu ambaye kama tutaelewana atakuwa mke wangu kigezo kikubwa ni kujitambua.
Nahitaji mchumba wa kike mwenye kuvutia kitabia na mwenye upendo kwa mume asiwe mwalimu mwenye kudhani anavutia. Ila mimi napenda mtu asiye tapeli nahitaji aliye tayari anijulishe na ni marufuku kuniomba hela, mimi sina bajeti ya kuhonga nisiye mfahamu. Anitafute inbox tuelewane
Mambo,
Natafuta mpenzi wa kike hapa awe ni mkazi wa Mara tu na si vinginevyo. Kwa aliye tayari anitumie namba ya simu pia awe na umri usiopungua miaka 29, ndoa inaweza kuwepo kama tutaelewana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.