hakika mwigulu ni punguani wa kuhurumiwa! Kama kweli kitendo hiki amekifanya, anaonyesha ni jinsi gani alivyo mtupu! Hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi kwani ni utaahira kamili labda tu hajapata cheti Milembe!
ama kweli babu dc unazeeka vibaya! Hiyo nadharia kuwa mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mke mmoja unaitoa wapi? Kama siyo kuendekeza vijumba vidogo2 na kuongeza tatizo! Adam alipewa mke mmoja Eva, mengine ni usanii tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.