Km nashangaa jinsi mnavyo tuhamasisha,tukileta hizo document mnatuambia eti zikitoka mtatupigia cm,halafu tunaishia kuona Lain za m pesa
zikiuzwa huku mitaani tena za majina ya watu,tunaomba msitumie leseni na tin namba za watu kujinufaisha mm toka nipeleke hi yo vitambulisho Nina miezi 5...