Kwenye uhitaji wa mzani wa kupimia wa mawe anicheki PM bei ya kuanzia ni 110k ni umetumika miezi michache tu so bado mpya kabisa ,napatikana Morogoro mjini
Fursa kwa kampuni /mnunuzi wa mchele kwa jumla kuanzia tani 2 na kuendelea jipatie mchele Safi kutoka hapa Didia kwa Bei nafuu kabisa kipindi hiki cha mavuno na nitakuwa nawe bega kwa bega kwa kipindi chote utakachokuwa na shida ya mchele ,mchele unapatikana wa Kila aina kwa Bei Kati 950 mpaka...
Wakuu habari anayefahamu eneo zuri au Kama unalo eneo naweza kuweka banda la chips niPM tuyajenge.
Ni kwa maeneo ya Morogoro mjini kama unaweza kuwa na mgahawa mi nikaongezea chips au una duka mi nikaweka hapo karibu vinywaji vitembee nicheki
Ninauliza soko la ndimu na ndizi mzuzu. Kuna mzigo upo mbioni kukomaa; kama wewe unajishughulisha na upo interested tuongee biashara vikiwa tayari nikustue ila nijue bei yako kwa plastic ya ndimu na mkungu mmoja wa mzuzu.
Wakuu habari, hivi kibanda cha chips ukitaka kukifungua kama unayo leseni ya biashara kuna haja ya kupata kibali TFDA au hiyo leseni na TIN niliyonayo inatosha?
Naomba kuwasilisha na ningeomba ufafanuzi kwa wazoefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.